JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Rais wa Tunisia, Kais Saied ametangaza mpangp wake wa kuiandika upya Katiba ya Nchi yake
Akitoa salamu za Sikukuu, Rais Saied ambaye alivunja Baraza la Mawaziri na Bunge amesema kamati itafanyia kazi suala hilo na italikamilisha ndani ya siku chache zijazo.
Hakusema ni jinsi gani katiba hiyo itabadilishwa lakini akagusia kuwa itakuwa na mwangaza wa kuifanya Jamhuri Mpya.
Wapinzani wamemshutumu kwa kuendelea kujiwekea nguvu nyingi ya kutaka kufanya kila kitu.
Source: BBC
Akitoa salamu za Sikukuu, Rais Saied ambaye alivunja Baraza la Mawaziri na Bunge amesema kamati itafanyia kazi suala hilo na italikamilisha ndani ya siku chache zijazo.
Hakusema ni jinsi gani katiba hiyo itabadilishwa lakini akagusia kuwa itakuwa na mwangaza wa kuifanya Jamhuri Mpya.
Wapinzani wamemshutumu kwa kuendelea kujiwekea nguvu nyingi ya kutaka kufanya kila kitu.
Source: BBC