Rais Wa Uganda Atangaza kumwachia Mwanawe Madaraka.

Rais Wa Uganda Atangaza kumwachia Mwanawe Madaraka.

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,663
Rais wa uganda Yower Museven ametangaza kumuandaa mwanawe kuchukua madaraka kutoka kwake! Source Dira ya dunia.
 
Ingawa twaipinga ila naona inakuwa njema sana angalau anakuwa mtu ambaye amezoea kuongoza na na familia iko na hela.
Tofauti na kumtoa kapuku from no where akifika IKULU mazoea sifuri tajiri zero anaanza kwapua mapaka atosheke inchi mifupa mitupu.
 
Ingawa twaipinga ila naona inakuwa njema sana angalau anakuwa mtu ambaye amezoea kuongoza na na familia iko na hela.
Tofauti na kumtoa kapuku from no where akifika IKULU mazoea sifuri tajiri zero anaanza kwapua mapaka atosheke inchi mifupa mitupu.

Kaka nafikiri this is to hypothetical. Fedha si ugali kwamba unashiba
Awali nilijua Kagame na Uganda ni kama ndoa (until death do them part) ila hili la kurithishana ni jambo jingine
I wish na Tizaa JK amrithishe Zwaan
 
Kama ni kweli, Museveni siku za mwisho wa uhai wake zimekaribia!!! Si mmesikia jinsi wanajeshi toka jeshi la Uganda walivyotoroka toka jeshini; mnadhani wametorokea wapi? Joseph Kony pia is still at large.
 
Kuna familia za àjabu sana wao wanadhani peke yao ndio wanahaki ya kutawala na wengine hawana. Urais sio ufalme kama ànajiamini amuache mwanae ajipambane mwenyewe kama akina KENYATTA au MAKONGORO walivyofanya. Kuandaa mrithi kutoka ndani ya familia yake huku akimbeba ni kuwanyima fursa raia wengine wanaopambana bila marefa.
 
Kuna familia za àjabu sana wao wanadhani peke yao ndio wanahaki ya kutawala na wengine hawana. Urais sio ufalme kama ànajiamini amuache mwanae ajipambane mwenyewe kama akina KENYATTA au MAKONGORO walivyofanya. Kuandaa mrithi kutoka ndani ya familia yake huku akimbeba ni kuwanyima fursa raia wengine wanaopambana bila marefa.[ Yaan viongozi wa Afrika wana uchu wa madaraka sijawah ona.kama Mugabe uchaguz unafanyika mwaka huu yeye pia atagombea huku akiwa na miaka 90. Inashangaza!
 
Anamwachia urais yule mwanae aliyempa ugeneral wa jeshi? Kumteua mke wake kuwa waziri ameona haitoshi sasa anataka kumpa urais mwanae? Kweli kuna vichwa vingine havina hata macho ya aibu; halafu na waganda wapo kimya hawana cha kufanya. Ila nimesikia intelligensia ya Museveni ni kiboko. Inaweza kuwa the best in East Africa kwa sasa. The guy amejijenga sana kwenye masuala ya kujihakikishia usalama wake madarakani.
 
Ingawa twaipinga ila naona
inakuwa njema sana angalau anakuwa mtu ambaye amezoea kuongoza na na
familia iko na hela.
Tofauti na kumtoa kapuku from no where akifika IKULU mazoea sifuri
tajiri zero anaanza kwapua mapaka atosheke inchi mifupa mitupu.

nini maana ya demokrasia sasa! watu kama nyie mmebaki wachache sana dunian, ungetunzwa vizuri kwenye museum.
 
Kaka nafikiri this is to hypothetical. Fedha si ugali kwamba unashiba
Awali nilijua Kagame na Uganda ni kama ndoa (until death do them part) ila hili la kurithishana ni jambo jingine
I wish na Tizaa JK amrithishe Zwaan
Unajua sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi ndo maana kwetu zamani ili kuwa mwendo wa machief na mambo yalikuwa shwari sana.Ni wateule wachache wenye uwezo wa kuongoza n hii the so called democrasia mtu ananunua wapiga kura na ata ----- anakuwa kiongozi.
Ila kwa Museven ilo lawezekana kama mkewe ni waziri what do u expect!
 
nini maana ya demokrasia sasa! watu kama nyie mmebaki wachache sana dunian, ungetunzwa vizuri kwenye museum.
Ivi uko serious Africa kuna democrasia au the so called Democrasia.
Kwa maana nyingine did you mean Power in the hands of the people?Fikiri mara mbili kabla ya kulitaja ilo neno.
 
Back
Top Bottom