Rais wa Ukraine, Volodymir Zelenskiy awafukuza kazi watumishi 28 wa Shirika la Ujasusi

Rais wa Ukraine, Volodymir Zelenskiy awafukuza kazi watumishi 28 wa Shirika la Ujasusi

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Rais wa Ukraine, Volodymir Zelenskiy amewafukuza kazi watumishi 28 wa Shirika la Ujasusi la nchi hiyo (SBU) ikiwa ni siku moja baada ya kumfukuza Mkuu wa Masuala ya Ujasusi, Ivan Bakanov.

Zelenskiy amesema kuwa waliofukuzwa wanatoka katika ngazi mbalimbali za shirika hilo na kwamba sababu za wao kuondolewa ni pamoja na kutokuwa na ufanisi wa kutosha kazini.
 
Rais wa Ukraine, Volodymir Zelenskiy amewafukuza kazi watumishi 28 wa Shirika la Ujasusi la nchi hiyo (SBU) ikiwa ni siku moja baada ya kumfukuza Mkuu wa Masuala ya Ujasusi, Ivan Bakanov.

Zelenskiy amesema kuwa waliofukuzwa wanatoka katika ngazi mbalimbali za shirika hilo na kwamba sababu za wao kuondolewa ni pamoja na kutokuwa na ufanisi wa kutosha kazini.
Inasemekana walikuwa wanaandaa njama za kumpindua kisha kuingia mapatano ya amani na Urusi!! Wamekatishwa tamaa na propaganda kuwa wataishinda Urusi kwenye uwanja wa mapambano wakati hali halisi inaonesha tofauti!!

Kwanza wameishiwa kabisa silaha na wanaendesha vita kwa kutegemea silaha wanazopewa na nchi za magharibi nazo ni kwa mkopo ambao umefikia kiwango ambacho haulipiki. Wanajiuliza itaendelea hivi hadi lini??

Angalau amewawahi kuwashtukia, lakini je atanusurika?
 
Haohao aliowafukuza watamfanyia kitu mbaya pamoja na kutoa siri kwa Russia
Hujamsikia akiwatuhumu kwa "treason case"? Tayari kulikuwa na hizo fununu za kumpindua na huenda Russia ilihusika (sina uhakika).. Unajua hao ni viongozi wa ngazi ya juu sana na wanaijua hali halisi kuliko Zelensky anavyoijua maana yeye anategemea kuambiwa na wao!! Wameshaona mbele ni giza na hakuna uwezekano wa kuishinda Urusi kwa kutegemea silaha za kuomba omba!
 
Rais wa Ukraine, Volodymir Zelenskiy amewafukuza kazi watumishi 28 wa Shirika la Ujasusi la nchi hiyo (SBU) ikiwa ni siku moja baada ya kumfukuza Mkuu wa Masuala ya Ujasusi, Ivan Bakanov.

Zelenskiy amesema kuwa waliofukuzwa wanatoka katika ngazi mbalimbali za shirika hilo na kwamba sababu za wao kuondolewa ni pamoja na kutokuwa na ufanisi wa kutosha kazini.
Kumbuka Putini amebadilisha walinzi wake zaidi ya mara 8 kwa kudhani wanatumika ukitoa ile mara moja ambayo alinusurika kuwawa na hao hao walinzi wake
 
Back
Top Bottom