Rais wa Urusi alivyokwenda iran na ndege 4 za kivita zinamlinda kwa juu

Hiyo video ni mda sana nimewai kuiona. ni miaka mitatu isiyopungua
 
Mod mnafuga wajinga jf... thread kama hizi mleta mada atakaiwa afanyiwe hearing why ni mjinga na news za kale kuifanya kama mpya watu fikra zetu zinasubiri news mpya
 
Hii ni ya miaka ya zamani sana kiongozi.
Ndio tatizo la kuja mjini ukubwani.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Halafu ni senior mzizi mkavu mbona siamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…