Mwaga sera tushawishike
Uchaguzi mkuu JF
Kanuni ya 7
hauruhusiwi kurudi tena kwenye uchaguzi kama uliondoka,hata kama msaji** atakurudisha.
Subiri kura ziamue ngoshaOhooo....naanza kunusa harufu ya uchakachuzi.
Nitayasusia matokeo mkiendelea na hizo hila zenu....
Ok,....kwenye jukwaa la siasa, hoja zinazomuhusu Mtukufu zinatizamwa kwa umakini sana,...pia zinasababisha title edition pamoja na uwezekano wa kufutwa, unasemaje kuhusu hilo?Mimi nafikiri suala la ban litazamwe upya
watu wapewe nafasi ya kujitetea kabla ya ban
na kuhusu Makapuku siamini kama wana mgogoro na wakongwe
nafikiri watu wawaache makapuku wawe free kuendeleza movement yao
Ok,....kwenye jukwaa la siasa, hoja zinazomuhusu Mtukufu zinatizamwa kwa umakini sana,...pia zinasababisha title edition pamoja na uwezekano wa kufutwa, unasemaje kuhusu hilo?
Ukipewa nafasi ya kuchagua mmoja wa wanachama humu awe Rais wetu,utamchagua nani na kwanini???...kumbuka huu UZI ni ...interesting
halafu pia kumerge thread
Mkuu kuna ID zina picha na majina ya ajabu ajabu,...mf, mchepuko wa mkulu na fundi chupi,....unadhani kuna haja ya kuhakiki hizi ID au mtu aweke anachotaka?Haitakiwi kabisa ku edit title ya thread ya mtu unless ina matusi
kufanya censorship ni makosa ni kuzuia watu kuwa free....
angalau kabla ya ku edit mtu aelezwe kakosea wapi
Mkuu kuna ID zina picha na majina ya ajabu ajabu,...mf, mchepuko wa mkulu na fundi chupi,....unadhani kuna haja ya kuhakiki hizi ID au mtu aweke anachotaka?
..kungekuwa na mfumo wa kutaja "the great thinker of the month" yaan mtu aliyechangia mada kwa kutumia akili sio kuandika ili aongeze "messages"Ku merge thread iwe kwa thread zinazofanana tu
na sio kila thread inayohusu jambo hilo...
angalau ku merge kufanyike siku saba baadae
nadhani majina ya matusi na yasiyo na tafsida yasiruhusiwe pamoja na picha za ajabu...Uhakiki hasa wa picha muhimu
lakini pia tuwe na uvumilivu
sioni why jina la 'mchepuko wa mkulu' kama ni that serious offense...
sanasana labda ni jina la kiutani tu....
..kungekuwa na mfumo wa kutaja "the great thinker of the month" yaan mtu aliyechangia mada kwa kutumia akili sio kuandika ili aongeze "messages"
nadhani majina ya matusi na yasiyo na tafsida yasiruhusiwe pamoja na picha za ajabu...