Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amejisalimisha kwa Polisi ili kuanza kutumikia kifungo cha miezi 15 jela

Wakati mwingine wanawajibika wao kwa makosa ya watendaji wengine,na nchi za kiafrica rushwa kwa watendaji wa serikali imeshamiri sana,hivyo basi mi kwa upande wangu sikubaliani na kitendo cha kumfunga rais.
 
Wakati mwingine wanawajibika wao kwa makosa ya watendaji wengine,na nchi za kiafrica rushwa kwa watendaji wa serikali imeshamiri sana,hivyo basi mi kwa upande wangu sikubaliani na kitendo cha kumfunga rais.
Unadhani katiba ya south afrika nikama yenu tz.poleyako
 
Pamoja na mambo yote, Tunaipongeza SA kwa kupiga hatua kubwa ktk kuheshimu Katiba yao na Sheria. Nobody should be above the law. Nchi nyingine za Afrika tuige mfano huu hususani Tanzania.
 
Jela ya South Africa Ni Kama chumba Cha hoteli Hapo Unguja. Punguza chokochoko!
Kufungwa ni kufungwa tu, hata kama ni pazuri kama Ikulu.

Kufungwa maana yake unanyimwa uhuru wa kuishi kama unavyotaka mfano kusafiri.
 
Africa nzima ni katiba 2 tu zenye nguvu ya Uma na taasisi zake. Katiba ya South Africa na Kenya. Wengine ccm ndo maana tunataka KATIBA MPYA!
 
 
Reactions: Qwy
Hiyo ni wazo lako tu hakuna facts zozote.Kwani busara si ndo sehemu ya kazi ya polisi,kwanza ushauri then nguvu
 
ANGEKUJA TANZANIA Hakuna KIONGOZI wa KUFUNGWA wote WAMEJIWEKEA KINGA
 
Hakika kuna nchi wananchi wake muda wote wana furaha kwa haki inatendeka kwa wote hakuna aliye juu ya Sheria.

Nani aliamini Rais Mstaafu Jacob Zuma atafungwa na atavaa hivi?

Viongozi tujifunze
 
Haki ni nini?

Ukimfunga Rais mstaafu na walinzi wake wanaenda naye gerezani ili wakamlinde.
 
Hapa Bongo kumkosoa tu Raisi kama alivyofanya Mdude juzi, inaonekana ni kama kumkosea Mungu wa Tanzania.
 
Reactions: BAK
Ccm wakisikia habari kama hizi wanatamani hata kubadili kabisa sheria yote ili wakuu wa mikoa na wilaya nao wapate kinga ya kutoshtakiwa!!

Yaani wanaogopa balaa!!
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…