Rais wa Zambia alitoa onyo kali Julai 6, 2024 kwa vikundi vinavyochochea mgawanyiko wa Kitaifa

Rais wa Zambia alitoa onyo kali Julai 6, 2024 kwa vikundi vinavyochochea mgawanyiko wa Kitaifa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema Maarufu kama HH alitoa Onyo Kali Julai 6, 2024 Kwa Vikundi vya Kisiasa na kikabila ambavyo vimekiwa vinaeneza chuki na kushadidia Mgawanyiko wa kijamaa Kwa maslahi ya Kisiasa.

Bwana Hichilema ambae alitokea Upinzani amesema atawashighulikia wote wanaotaka kuharibu Umoja wa Nchi hiyo kwa visingizio vya Demokrasia.


My Take
Hapa kwetu Tanzania kina watu ,Vyama na Vikundi vya wanaharakati ambao wamekuwa wakitoa matamshi ya chuki na yanayolenga kuleta Mgawanyiko wa Tanzania Kwa misingi ya ukabila na maeneo wanakotokea Kwa maslahi ya Kisiasa wakidai hiyo ni Demokrasia.

Wamekwenda mbali zaidi wakidai Wao ni Watanganyika hivyo Wazanzibar wanawauza.

Nitoe Wito Kwa Serikali kutowachekea Wala kuwafumbia macho watu wa dizaini hii Kwa sababu Wana Nia ovu ya kuvuruga amani na utaifa Wetu huku familia zao zikiishi huko Ughaibuni Kwa waliowatuma.
 
Sisi tumeshagawanywa kabla ya kugawanyika Mzanzibari ana HAKI zote akija BARA sisi tukienda VISIWANI tuna HAKI kiduchu.
Lugha kama hizi ndio mamlaka zinatakiwa kuzikomesha mara Moja.

Utaratibu uliowekwa uko kisheria na sio Kisiasa kama unaona Kuna shida guata taratibu za kisheria
 
Hawana sheria za kinachoitwa "chuki na kushadidia Mgawanyiko wa kijamaa Kwa maslahi ya Kisiasa"
Wana miaka zaidi ya 200 ya utengamano,sisi tuko chini ya 70 so Bado sana tunahitaji kijitafuta.
 
Utaratibu uliowekwa uko kisheria na sio Kisiasa kama unaona Kuna shida guata taratibu za kisheria
Hata Utawala wa Makaburu wa Afrika ya Kusini waliweka SHERIA za Kubaguana kwa Rangi ya ngozi kweni hakuna SHERIA za HOVYO?!

Usibabaishwe na SHERIA.
 
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema Maarufu kama HH ametoa Onyo Kali Kwa Vikundi vya Kisiasa na kikabila ambavyo vimekiwa vinaeneza chuki na kushadidia Mgawanyiko wa kijamaa Kwa maslahi ya Kisiasa.

Bwana Hichilema ambae alitokea Upinzani amesema atawashighulikia wote wanaotaka kuharibu Umoja wa Nchi hiyo kwa visingizio vya Demokrasia.


My Take
Hapa kwetu Tanzania kina watu ,Vyama na Vikundi vya wanaharakati ambao wamekuwa wakitoa matamshi ya chuki na yanayolenga kuleta Mgawanyiko wa Tanzania Kwa misingi ya ukabila na maeneo wanakotokea Kwa maslahi ya Kisiasa wakidai hiyo ni Demokrasia.

Wamekwenda mbali zaidi wakidai Wao ni Watanganyika hivyo Wazanzibar wanawauza.

Nitoe Wito Kwa Serikali kutowachekea Wala kuwafumbia macho watu wa dizaini hii Kwa sababu Wana Nia ovu ya kuvuruga amani na utaifa Wetu huku familia zao zikiishi huko Ughaibuni Kwa waliowatuma.
Mijitu hiii ndio inaharibu nchi yaani ni matahira
Alaf inazani yenyewe ni mi zalendo kumbe ujinga mtupu kutumika bila kujua
 
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema Maarufu kama HH ametoa Onyo Kali Kwa Vikundi vya Kisiasa na kikabila ambavyo vimekiwa vinaeneza chuki na kushadidia Mgawanyiko wa kijamaa Kwa maslahi ya Kisiasa.

Bwana Hichilema ambae alitokea Upinzani amesema atawashighulikia wote wanaotaka kuharibu Umoja wa Nchi hiyo kwa visingizio vya Demokrasia.


My Take
Hapa kwetu Tanzania kina watu ,Vyama na Vikundi vya wanaharakati ambao wamekuwa wakitoa matamshi ya chuki na yanayolenga kuleta Mgawanyiko wa Tanzania Kwa misingi ya ukabila na maeneo wanakotokea Kwa maslahi ya Kisiasa wakidai hiyo ni Demokrasia.

Wamekwenda mbali zaidi wakidai Wao ni Watanganyika hivyo Wazanzibar wanawauza.

Nitoe Wito Kwa Serikali kutowachekea Wala kuwafumbia macho watu wa dizaini hii Kwa sababu Wana Nia ovu ya kuvuruga amani na utaifa Wetu huku familia zao zikiishi huko Ughaibuni Kwa waliowatuma.
Yes,
ni mihimu sana kama taifa,
kuzingatia sheria na katiba ya nchi katika kutumia haki na uhuru wa kila moja wetu, ili kutokuhatarisha umaja, amani na utulivu wa nchi katika kusonga mbele kimaendeleo...

ukimya, ustaarabu, ustahimilivu, na heshima ya viongozi wakuu wa nchi, visitumiwe vibaya na wanasiasa, asasi za kurai na wanaharakati mbalimbali kuchochea migawanyiko, chuki na uhasama miongoni mwa wananchi na vyombo vya ulinzi na usalama, lakini pia na serikali kwa ujimla...

mila, desturi na utamaduni wa kuheshimiana na kupendana kama taifa, uendelee kuimarisha umoja na amani ya mama Tanzania.

ni muhimu sana kutambua kwamba serikali makini na sikivu sana ya CCM imara, iko kazini chini ya kiongozi madhubuti sana na kipenzi cha waTanzani Dr.Samia Suluhu Hassan :pulpTRAVOLTA:
 
Ma CHADEMA yataishia kutukana matusi tu hapa maana hiyo lugha hayawezi kuielewa vizuri na hata kilichozungumzwa kwenye video hiyo hawawezi kuelewa kitu.Mungu wape ufahamu CHADEMA waelewe maana ya video hiyo .
 
Back
Top Bottom