Rais wa Zambia karudi kwao usiku wa Jana kutoka Congo, ana majukumu mengi ya kitaifa

Rais wa Zambia karudi kwao usiku wa Jana kutoka Congo, ana majukumu mengi ya kitaifa

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Rais wa Zambia [emoji1268] mheshimiwa Hakainde Hichilema alienda Juzi Congo kwenye mkutano wa SADC, Jana walipomaliza tu mkutano akakwea pipa akasepa. Hana tamaa za kutaka kukaa mda mrefu kwenye ma.Nchi ya watu anajua kwake Kuna majukumu mengi yakulijenga Taifa.

Hongera sana mwanademokrasia, mwanasiasa shupavu unayejali utu ilikuwa usiku wa kiza lakini wewe hukujali ukasema zege hailali site, saizi upo Zambia kuwatumikia wananchi.

Screenshot_20220818-082322_1.jpg
1660800182613.jpg
1660800193675.jpg
1660800512167.jpg
 
Mkuu binafsi nimenufaika na changes za President huyu, barabarani kumetulia mno na hakuna zile fedha za kiwi kwa traffic officer's
Kwahiyo unafrahi askari kutolewa barabarani huku ajali kila siku zinachinja watu. Ndohawa wakiingiaga kanisani wanaomba mchungaji asahau kukusanya sadaka
 
Kwahiyo unafrahi askari kutolewa barabarani huku ajali kila siku zinachinja watu. Ndohawa wakiingiaga kanisani wanaomba mchungaji asahau kukusanya sadaka
Nope mkuu, kuna factors nyingi zinazosaidia kuleta usalama barabarani, traffic officer's ni factor mojawapo na ni ndogo sana,ZAMBIA wamepunguza mno traffic officer's, wanaimarisha barabara zao, kupata driving licenses ni zoezi linalochuja hasa, tujahitaji more police ku patrol our neighborhood kuliko kula bribes barabarani, hakuna serious accidents zilizolipotiwa kutoka 🇿🇲
 
Rais wa Zambia [emoji1268] mheshimiwa Hakainde Hichilema alienda Juzi Congo kwenye mkutano wa SADC, Jana walipomaliza tu mkutano akakwea pipa akasepa. Hana tamaa za kutaka kukaa mda mrefu kwenye ma.Nchi ya watu anajua kwake Kuna majukumu mengi yakulijenga Taifa.

Hongera sana mwanademokrasia, mwanasiasa shupavu unayejali utu ilikuwa usiku wa kiza lakini wewe hukujali ukasema zege hailali site, saizi upo Zambia kuwatumikia wananchi.

View attachment 2327088View attachment 2327089View attachment 2327090View attachment 2327091
Naam Naam jinunulie mwenyewe[emoji38].
 
Mama leo anarudi, tatizo liko wapi, kwani mlijua anatumia hela nyingi akikaa kidogo tu DRC, ujue sisi na DRC tuna business kubwa sana
 
Rais wa Zambia [emoji1268] mheshimiwa Hakainde Hichilema alienda Juzi Congo kwenye mkutano wa SADC, Jana walipomaliza tu mkutano akakwea pipa akasepa. Hana tamaa za kutaka kukaa mda mrefu kwenye ma.Nchi ya watu anajua kwake Kuna majukumu mengi yakulijenga Taifa.

Hongera sana mwanademokrasia, mwanasiasa shupavu unayejali utu ilikuwa usiku wa kiza lakini wewe hukujali ukasema zege hailali site, saizi upo Zambia kuwatumikia wananchi.

View attachment 2327088View attachment 2327089View attachment 2327090View attachment 2327091
PRESDENT ANAPUMZIKAA BANA ,AFU MJUE HUYO NI MAMA SI MWANAUME KAMA YEYE ,ANAHITAJI KUPUMZIKA ASEE
 
Back
Top Bottom