Rais wa Zambia karudi kwao usiku wa Jana kutoka Congo, ana majukumu mengi ya kitaifa

Huyu naye msanii tu Marekani alienda na ndege ya abiria hapo Congo kawasha private jet ana kausanii flani hivi japo ni kiongozi mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…