Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Meli karibu zote za kisasa duniani zinatumia heavy diesel oil.Kuna haja ya kubadili mifumo ya nishati ya meli za serikali. Serikali iangalie uwezekano wa meli zote mpya zinazojengwa ziwa Victoria, Tanganyika na bahari ya Hindi kutumia nishati ya gesi ambayo ni nafuu sana ili meli hizi zianze kuendeshwa kwa faida.
Mwinyi pia angefanya 'last attempt' kwa kutenga fedha na kununua gas fired engines na kufunga kwenye baadhi ya meli, hasa zile ambazo ni mpya-mpya aone kama ufanisi utaongezeka kwa kupugua kwa gharama ya nishati.
Gas is our future...
Ndugai anashauri tuuze lanch ya Dodoma...!
Hiyo ndiyo faida ya ushindani wa kibiashara. Kama hutoi huduma nzuri unawekwa pembeni automatically. Hata kwa serikali ya JMT hizo ndege za ATCL zilitakiwa ziwe na competitors ili tuchague kilicho bora, lakini walianza kuwakaba shingo private investors ili wabaki wao. TBC yenyewe haiwezi kujiendesha, watu hawana interest na programs zake. Rais Hussein Mwinyi yuko sahihi kabisa.Meli za Azam Fast Ferries, Flying Horse, Zanzibar One zinatusua pesa ila za SMZ hasara tupu??
Does it stick in mind?
Ukiwa na weredi sio rahisi ufanye kazi kwa mshahsra wa 15 million labda uwe na mpango wa kwenda kuiba.Tatizo kuwa viongozi wa mashirika huchaguliwa na raisi hakuna kuangalia kama wana weledi wakazi au laa.
Hata kama shirika linakula hasara hakuna kupunguza watu kazi hakuna kufukuzwa mtu.
We ndo mk";':*!@ndu kweli ,kuwa meli binafsi za azam itashindwaje serikali isipate faida wakati wote wanafanya biashara ili wapate faida. Achana na mawazo mgandoZile
Ni mei binafsi we matakooo
Kitu ninachojiuliza ni kwamba tuliaminishwa ATCL ilikuwa inaingiza faida kwa maana mpaka inatoa gawio kwa serikali, lakini kinachoshangaza papo hapo tunaambiwa ATCL imeingiza hasara ya mabilioni kwa serikali! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .
Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Meli za Azam Fast Ferries, Flying Horse, Zanzibar One zinatusua pesa ila za SMZ hasara tupu??
Does it stick in mind?
Nipate pesa, nijiandae kununua ndege za serikali, maana najua bado ni mpya na zitauzwa kwa bei che.Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .
Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Ndio, kwasababu huwezi kuniambia nisipande Azam au Zanzibar One eti nipande MV Mapinduzi 2! Then angalia jinsi Azam alivyodorminate hiyo biashara, usafiri wa uhakika unaokwenda na muda pia sasa hiyo MV Mapinduzi ya Serikali umeiona ilivyo?!Meli za Azam Fast Ferries, Flying Horse, Zanzibar One zinatusua pesa ila za SMZ hasara tupu??
Does it stick in mind?
Je,Kuna umuhimu wa serikali kuendelea na mradi wa bandari ya Bagamoyo ili kufanya mradi wa SGR kuwa wenye tija?Hata ningekuwa mimi ndio Rais wa Muungano ndege zote ningekodisha kwa mashirika binafsi au serikali yanayojitahidi afu nasubilia changu.
Soon sgr itakuwa hivyo hivyo hasara ,wataleta mwekezaji atasema sipati faida yaani tuendako itakuwa maumivu Sana.
Kama sgr ya Mombasa Nairobi ambayo iko kwenye main transport corridor inaleta faida ndogo au hasara sembuse sgr ya kwenda Mwanza ambako hata mizigo ya kubeba ya maana hakuna
Serikali kufanya biashara siku zote ni maumivu
Labda washirikiane na mtu binafsi
Ila wakiwa wenyewe ni hasara tupu,upigaji nk
Ova
Tunataka ubepari lakini tunaendesha nchi kijamaa wakati huo huo tunataka kuendesha mashirika kibepari.Hiyo ndiyo faida ya ushindani wa kibiashara. Kama hutoi huduma nzuri unawekwa pembeni automatically. Hata kwa serikali ya JMT hizo ndege za ATCL zilitakiwa ziwe na competitors ili tuchague kilicho bora, lakini walianza kuwakaba shingo private investors ili wabaki wao. TBC yenyewe haiwezi kujiendesha, watu hawana interest na programs zake. Rais Hussein Mwinyi yuko sahihi kabisa.
Hata ile meli 'mpya' ya MV Mapinduzi II ya mwaka 2015 tayari ni chakavu bila kusahau meli ya MT Mkombozi II maalum kama tanker ya mafuta muda mwingi imetia nanga bandarini Malindi Zanzibar bila kupiga kazi!.
8 August 2019
MT Ukombozi II meli mpya yatinga Zanzibar
MV MAPINDUZI II , meli mpya inayoendelea kukumbwa na changamoto zisizoisha
Source : Hilmi Hilal
https://www.balticshipping.com › imo
MAPINDUZI II, Passenger vessel, IMO 9708485 - BalticShipping.com
MAPINDUZI II is a Passenger vessel built in 2015. Currently sailing under the flag of Tanzania. Formerly also known as POSCO PLANTEC 13SV01
Hayo majina hayana tofauti na wale wazazi ambao huwapa watoto wao majina ya ajabu ajabu Kama majuto,Taabu,Mateso,Mawazo,Matatizo nkMimi wananimaliza hayo majina ya hayo meli zao, MAPINDUZI, MKOMBOZI Hopeless kabisa hawa jamaa
Si wanajua hata wakitumia pesa ovyoIla wao wanapapara ya kuwabambika wenzao makodi wanapowaona wanafanya biashra vizuri
Vitu vya serikali haviwezi enda kwa ufanisi kama kuna mshindani.hata kesi za serikali nyingi wanashindwa.uzalendo hakunaAjira za kubebana ndugu, rushwa, kujuana ,vimada nk.
Kwanza ni meli za nini? Mizigo tanker abiria uvuvi? Hasara inatoka wapi? Mikopo madeni uendeshaji au meli nzee? South Korea uchumi umeshikwa na meli, Sweden shirika la maersk ni roho ya uchumi wao, sie tatizo nini hasa?Meli za Azam Fast Ferries, Flying Horse, Zanzibar One zinatusua pesa ila za SMZ hasara tupu??
Does it stick in mind?
KabisaHuyu ni mpiga debe wa gaidi mkuu, bila kufanya hivyo haendi chooni.