baina JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 219 Reaction score 59 Apr 5, 2011 #1 Hivi rais wa zanzibar anapokuwa tanganyika huwa anapeperusha bendera hipi? Make sijawahi kuona msafara wake. Nini maana yake?
Hivi rais wa zanzibar anapokuwa tanganyika huwa anapeperusha bendera hipi? Make sijawahi kuona msafara wake. Nini maana yake?
GHIBUU JF-Expert Member Joined Jan 13, 2011 Posts 4,432 Reaction score 3,013 Apr 5, 2011 #2 Hana wizara maalum,anaonekana kama ni mbunge tu wa kawaida,na dharau kubwa sana.
Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 18,772 Reaction score 8,939 Apr 5, 2011 #3 View attachment 26655 Acheni DHARAU bendera hii hapa!!
K kiparah JF-Expert Member Joined Sep 7, 2010 Posts 1,173 Reaction score 117 Apr 5, 2011 #4 Hakuna Muungano wa ajabu duniani kama Tanzania na Zanzibar... Jamhuri moja, kila moja ina rais na jeshi???????????+wimbo wa taifa na bendera (ukitaka maajabu ndenda Tanganyika now-days Tanzania utayaona ya kila aina)
Hakuna Muungano wa ajabu duniani kama Tanzania na Zanzibar... Jamhuri moja, kila moja ina rais na jeshi???????????+wimbo wa taifa na bendera (ukitaka maajabu ndenda Tanganyika now-days Tanzania utayaona ya kila aina)
Speaker JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 6,324 Reaction score 2,240 Apr 5, 2011 #5 Kibanga Ampiga MKoloni said: View attachment 26655 Acheni DHARAU bendera hii hapa!! Click to expand... Kumbe mnayo bendera duh,mmekua sasa mchukue talaka yenu
Kibanga Ampiga MKoloni said: View attachment 26655 Acheni DHARAU bendera hii hapa!! Click to expand... Kumbe mnayo bendera duh,mmekua sasa mchukue talaka yenu