Rais wa Zanzibar hupeperusha bendera gani?

baina

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
219
Reaction score
59
Hivi rais wa zanzibar anapokuwa tanganyika huwa anapeperusha bendera hipi? Make sijawahi kuona msafara wake.
Nini maana yake?
 
Hana wizara maalum,anaonekana kama ni mbunge tu wa kawaida,na dharau kubwa sana.
 
Hakuna Muungano wa ajabu duniani kama Tanzania na Zanzibar... Jamhuri moja, kila moja ina rais na jeshi???????????+wimbo wa taifa na bendera (ukitaka maajabu ndenda Tanganyika now-days Tanzania utayaona ya kila aina)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…