Rais wangu Samia zuia wafanyakazi wa NCBA kupunguzwa, Uhuru Kenyatta kakudanganya

Rais wangu Samia zuia wafanyakazi wa NCBA kupunguzwa, Uhuru Kenyatta kakudanganya

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu yangu Samia,

Ninajua umezongwa na vimemo,

Ila ninakushauri kuwa ziara ya Kenya imeanza kuleta madhara kwa Watanzania.

Benki ya CBA ambayo ni Mali ya Kenyata inampango kupunguza wafanyakazi bila kufuata utaratibu. ha kwa kwanza hakuna sababu yoyote kupunguza wafanyakazi haswa ukizingatia CBA imeungana na NIC kuwa benki kubwa.

Kabla hili halijawa kubwa naomba ulishighulikie,nchi yetu inataka ajira sio kupunguza wafanyakazi.
 
Unamaanisha wanakuja Wakenya kufanyakazi ambazo ulikuwa unafanya?

FUNGUKA acha kujiuma uma, Mama yuko kusikiliza.
 
Kupunguza wafanyakazi hakukuanzia hapo tu,kupo sana kila sekta, na ni jambo la kawaida kwenye uchumi

Unaposema hakuna sababu ya kupunguza,wewe upo kwenye management? Kama ni ndio basi shaka ya nini?maana lazima malipo yako ni makubwa, sie wengine tumeshuhudia kupunguzwa tangu 2008!tumeishazoea, mtumbwi mmoja ukizama, unapiga mbizi, unadandia mwingine maisha ndio yalivyo.
 
Mjinga mkubwa wewe! Unafikiri Bi. Mkubwa wetu ana akili sawa na yule aliyepo udongoni. Kumbuka mama hashughuliki na mambo madogo. Fahamu hii biashara ina faida na hasara hao wamepembua wakaona wachukue maamuzi hayo.
 
Mkuu Wakudadavuwa , kwanza Samia sio ndugu yako, na hata akiwa ni ndugu yako toka nitoke, when you address her in public, ni Rais Samia!

Pili you are letting me down, hujui tofauti ya public entities na private sector, hujui kuwa PPR ikiamua kupunguza wafanyakazi, Rais Samia hawezi kufanya lolote?. Unataka rais Samia aingilie uendeshaji wa private sector?. No please its not you.

Tatu, japo corona imechangia kwa kiasi kikubwa huu mdororo wa uchumi, private sector inaendeshwa kwa profit margin baada ya ku break even kwa the capital injected. Kama umeingiza pesa na huo faida, you just can't operate on loses throught, unless kama Mama Samia ataiamuru BOT kutoa stimulus package kwa mabenki ili kufidia operational costs. Kiukweli yule Kaka yako, japo ametufanyia makubwa, lakini pia ametuharibia sana private sector yetu.


P
 
Back
Top Bottom