A AmaniKatoshi Senior Member Joined Mar 31, 2009 Posts 158 Reaction score 14 Jan 31, 2010 #21 Kiranga said: Nashukuru AmaniKatoshi, Kifupi, JK hana nguvu ya kupiganga na uozo huu kwa sababu uozo huu ndio uliomuweka madarakani. Click to expand... Nimekusikia mkuu...na ndio maana inakuwa anajiangusha mwenyewe! Shule hii iliyopo morogoro, along the highway to Mikumi ni mfano wa jinsi JK na CCM wamefanikiwa kutekeleza manifesto yao ya UCHAGUZI wa 2005!
Kiranga said: Nashukuru AmaniKatoshi, Kifupi, JK hana nguvu ya kupiganga na uozo huu kwa sababu uozo huu ndio uliomuweka madarakani. Click to expand... Nimekusikia mkuu...na ndio maana inakuwa anajiangusha mwenyewe! Shule hii iliyopo morogoro, along the highway to Mikumi ni mfano wa jinsi JK na CCM wamefanikiwa kutekeleza manifesto yao ya UCHAGUZI wa 2005!
K Kimweri JF-Expert Member Joined Apr 16, 2008 Posts 3,999 Reaction score 3,955 Jan 31, 2010 #22 nchi hii!! hilo VX hapo nyuma si lingeweza kulipia ujenzi wa vyumba vya madarasa hata ma-3!hao watoto wakasoma japo kwa shift! anyways kwao wao,mtendaji kutembelea VX ndio maendeleo..,
nchi hii!! hilo VX hapo nyuma si lingeweza kulipia ujenzi wa vyumba vya madarasa hata ma-3!hao watoto wakasoma japo kwa shift! anyways kwao wao,mtendaji kutembelea VX ndio maendeleo..,