Rais wetu na safari mfululizo

Unafikiri anaishiwa nguvu kwa kuwa hapumziki kufanya nini tofauti na safari? Kuishiwa nguvu kunatokana na mambo mengi mojawapo ni starehe za kupita kiasi....

hahaha starehe kweli sina haja ya kuuliza sana ni zipi ..
thanks kibweka ngoja uje mchakato wa uchaguzi kampeni na hiyo mizunguko yake .atazimia kila apandapo jukwaani
hawa washauri wake sijui wana matatizo gani ?
 
hahaha starehe kweli sina haja ya kuuliza sana ni zipi ..
thanks kibweka ngoja uje mchakato wa uchaguzi kampeni na hiyo mizunguko yake .atazimia kila apandapo jukwaani
hawa washauri wake sijui wana matatizo gani ?

Huenda hashauriki! Tusiwalumu washauri wake! Kwani ukimshauri mlevi acha pombe naye akaendelea kunywa si unamwacha kwa kuwa anainunua kwa pesa yake (Kuna ulevi wa aina nyingi pia)
 
Cuba kuna matabibu wazuri tu. Huenda kaenda kulitafutia ufumbuzi wa kudumu tatizo lake. Waziri wetu wa afya alitangulia kule.
 
Mwacheni atembee jamani, huko kote anazurura ili kutafuta misaada ya nchi. Kama mjuavyo kampeni yake ni maisha bora kwa kila mtanzania.
Maisha bora hayatakuja iwapo rais atajibweteka.

Kwa rasilimali tulizojaaliwa Tanzania, hatutakiwi kuomba msaada/misaada kutoka nje! Sisi ndio tulitakiwa kutoa misaada kwa nchi nyingine. Hili ni ndoto kama tutaendelea kuwa na viongozi wa namna ya JK.
 
Hivi hamna taasisi yenye mamlaka kikatiba ya kum-moderate raisi? Maana huyu mtu hayuko sawa, haambiliki, hasikii, he is running like a mad woman. Na hivi mawaziri wake hawafanye kazi mpaka azungumze, tuna hasara kweli kweli.
 
The guy is crazy of safari, anachanganyikiwa akisikia kuna safari. Thats what he can do best, what else will he do anyway?
 
Nilikua najiuliza, Rais wetu anavyotembelea nchi mbalimbali bila kupumzika si atachoka sana na kuanguka huko???

Ukiwa na njaa nyumbani kwako utaamua kujifungia na familia yako au utatoka nje kutafuta chochote utakachofanikiwa kupata urudi jioni mle pamoja na familia, wakati mnakula mnapanga mikakati mipya ya muda mfupi na mrefu hadi mfanikiwe.

ndo maana ya safari zake kwa ujumla wake.
 
Mimi ndiye Mheshimiwa Raisi wenu, mmenichagua kwa ridhaa yenu tena kwa ushindi wa kishindo. Mlinijua kiutendaji na kitabia bado mkaridhia kunichagua; nasisitiza tena kwa ridhaa yenu bila kulazimishwa na yeyote. Ninaendelea kumalizia muda mfupi uliobaki kumalizia miaka yangu mitano ya kwanza.

Kwa kweli nimefanikiwa kuzunguka sehemu nyingi za dunia hii, kama wengi wenu mjuavyo. Nimejionea mengi huko nje. Watanzania ni watu wenye uvumilivu wa hali ya juu; na ukarimu na upole wa hali ya juu. Pamoja na matatizo tuliyonayo lakini amani ndio kitu cha msingi.

Hivi sasa najipanga kwa ajili ya miaka mitano ijayo. Nafikiri safari za kipindi cha pili zitakuwa marudio; sana sana tu hasa kwenye sehemu nilizonoti wana utalii mzuri. Nashukuru nina watendaji wazuri chini yangu ambao mimi mwenyewe sihitaji kuwepo nchini kufukuzana nao. Wanajituma na wanachapa kazi vizuri. Hawa nitahakikisha wanabaki kwenye nafasi zao ili mimi nipate muda zaidi wa kujenga mahusiano na nchi za nje.

Katiba yetu ya nchi nayo imekaa vizuri sana. Inanipa mimi kama raisi madarka na uhuru mkubwa wa kutenda kazi ninavyojisikia. kuna wachochezi wachache wanaizungumza zungumza hii, naona wana chuki binafsi tu na uhuru nilio nao. mie kipenzi cha watanzania bwana.

Sera zoooote zilizoandikwa kwenye ilani ya uchaguzi ya chama changu, sikuziandika mimi. Hili nilishalisemea mara nyingi tu. Kwa hiyo mtu asije akajipa matumaini eti kwenye ziara zangu nitamletea mtu yeyote maisha bora. Haya ni mambo ya kisiasa tu ndugu zangu.

Pale mwanzoni nilikuwa nikiwafuatilia watendaji wangu kwa vikao vya kushtukizia, lakini baadaye nikagundua wao ni watendaji wazuri tu bila hata ya kufuatiliwa. Hivyo siku hizi wala sina presha. Mimi nazunguka huku na baadhi yao, huko nyumbani nao wanachapa kazi tu. Ukikaa nyumbani sana kero haziishi bwana, bora kutuliza akili huku nje. Hukawii kudondoka jukwaani bure! Maisha yenyewe mafupi nugu yangu.
 
Safari ya Jamaica aliomba wamualike!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
kwani yanawahusu nini.....mwacheni atese amepata urais kwa mbinde sana.......mwacheni ale asivyo lima
 
kwani yanawahusu nini.....mwacheni atese amepata urais kwa mbinde sana.......mwacheni ale asivyo lima

Kwambinde ipi ya kuiba pesa na kupigia kampeni na kuiba kura?
 
kwani yanawahusu nini.....mwacheni atese amepata urais kwa mbinde sana.......mwacheni ale asivyo lima

Ndugu zangu nimesikia kijuu juu kwmba eti huyu ndie rais bora kabisa nchi za africa mashariki na kati zimewahi kupata. Nilikuwa napitapita kwenye website nikakutana na hii kitu, ngoja nijaribu kuitafuta tena ili niwapatie hiyo website wadau!!

I felt laughing waday mpaka nikasahau kuangalia credibility ya hiyo web!!
 
pesa iliyoibwa kwa ajili ya come pain haikuwa nyingi sana...ilikuwa kawaida tu labda tatizo lenu watz wivu unawasumbua.......alibaniwa sana....tumwache ajimwage mwage mtoto wa pwani
Kwambinde ipi ya kuiba pesa na kupigia kampeni na kuiba kura?
 
pesa iliyoibwa kwa ajili ya come pain haikuwa nyingi sana...ilikuwa kawaida tu labda tatizo lenu watz wivu unawasumbua.......alibaniwa sana....tumwache ajimwage mwage mtoto wa pwani

Hela kidogo ndio kiasi gani? Hata hivyo ilitokana na jasho letu! Nani amuonee wivu? Sisi tunahitaji atatue mambo yaliyopo nchini na siyo kurukaruka
 
rais atatue matatizo? kwani mawaziri na watendaji walio chini yake aliowachagua wanafanya nini........yeye kazi yake ni kuiosha zaidi tz ili tupate misaada ya kutosha si mnaona bajeti yetu ilivyo kubwa na tegemezi.........yaani kinachowauma nyie ni kagoda eti ilichota zaidi ya bilioni 40 kwani mnajua chaguzi za nyuma ccm walichota nagapi? kujua kidogo ni bora kuliko kujua sana kwani mkijua sana itawapa shida maana mmejua kidogo tu tabu rais anaogopa hata kusafiri kidogo............\
jamani mwacheni atese na nyie kama mnafikiri mna uwezo wa kuongoza gombeeni..........................
''kuna nini ikulu..................ukiwa ikulu ni shida tupu..........mtu anaekimbilia ikulu mwogopeni kama ukoma.........ikulu hakuna biashara........ukiwa ikulu utajikuta unatembelea wanachi vijijini wanashida kubwa wanalalamika....ikulu ni sehemu ya heshima''
nukuu ya maneno ya baba wa taifa japo si kwa ufasa.....
Hela kidogo ndio kiasi gani? Hata hivyo ilitokana na jasho letu! Nani amuonee wivu? Sisi tunahitaji atatue mambo yaliyopo nchini na siyo kurukaruka
 
ni kweli kabisa yeye ni bora kama hutaki andamana........moja ya kigezo kilicho mfikisha hatua hiyo ni kitendo chake cha kuwa rais wa kwanza kutoka bara la africa kuonana na rais wa marekani barack obammmma.............
 
Nilikua najiuliza, Rais wetu anavyotembelea nchi mbalimbali bila kupumzika si atachoka sana na kuanguka huko???


akianguka huko si kuna hospitali tena nzuri kuliko zetu watamtibu tu!
 
Utendaji wa mkuu wa nchi ni kuwa na mtazamo na upeo wa kuona nchi eilekee wapi kufanikisha mipango yote ya kimaendeleo! Kama kiongozi ndo wa kurukaruka hiyo vision ataipata wapi? Au hao mawaziri ndio wafanye kazi yake? basi yeye hatakiwi kuwepo!
 


nanihii ya mheshimiwa, rangi zimepakwa kutokana na nchi alizokwishatembelea,basically nchi zote zikiwa chache sana bado zenye red,red hajaenda kabisa,njano anazopenda kwenda saana,kijani amekuta misitu mizuri, orange hakukaliki kuna vita au too hot etc so kazi kweeli kweeli kuupdate hii ramani msidhani kazi ndogo hiii jameni, heshma mbele tafadhali!
http://www.vecteezy.com/vf/379-MacDaddy-World
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…