Jamani tuache kumshtumu Muungwana maana hauwezijua kama moyo anapenda kusafiri au anasafiri bila kupenda maana huyu ni mkuu wa nchi anawajibu wa kufanya kila lililojema kwasababu hata alivyo ishiwa nguvu alikuwa katoka safari na ilibidi asikwepe jukumu la kwenda mwanza maana ilikuwa kazi yake.
Lamsingi ni kuwa wavumilivu tu! He is the PRESIDENT.