Rais William Ruto aweka rekodi ya aina yake kwa kusafiri mara 38 ndani ya mwaka 1

Rais William Ruto aweka rekodi ya aina yake kwa kusafiri mara 38 ndani ya mwaka 1

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Hii ni rekodi zaidi ya Vasco Da Gama.

Sijajua kama safari zina tija au laa.

Watanzania huwa wanasema Samia anasafiri sana ila Ruto ni kiboko.



Nimekuwa nikifuatilia safari za Rais Samia kwa muda mwingi zimejikita kwenye mambo ya diplomasia ya Uchumi na Biashara, kuhusu Kenya sijui wenyewe watakuja kuelezea.

actually, ni zaidi ya siku 88 yupo nje ya nchi tangu alipongia mamlakani Aug 2022.
Na hizi mambo kama zingekua na matokeo yanayonekana haingekua shida ila kama hakuna kitu kinaonekana hiyo ni shida...
 
Back
Top Bottom