Yeah, yuko sahihi mambo yalianza kuharibika walioingiza handshake na yeye akawekwa kando! Mengi yalikuwa yanaamuliwa na Uhuru Kenyatta akishirikiana na Raila! Ruto aligeuzwa kuwa mpinzani wa serikali!Raisi wa Kenya William Ruto ni kama amesahau kuwa alikuwa Makamu wa Rais wa serikali iliyopita kwa sasa ameamua kuisimanga serikali iliyopita kuwa iliharibu uchumi kutokana na hilo naona maneno yaleyale ya hayati JPM kuwa wenzake hakuna alichofanya alivyokuwa akisema jukwanj naona na Ruto anapita humohumo.
Wanasiasa ni ngumu kuwaelewa na kujua kilichopo mioni mwaoView attachment 2389528
Kwa nini hakujiuzuru?Yeah, yuko sahihi mambo yalianza kuharibika walioingiza handshake na yeye akawekwa kando! Mengi yalikuwa yanaamuliwa na Uhuru Kenyatta akishirikiana na Raila! Ruto aligeuzwa kuwa mpinzani wa serikali!
Angejiuzuru, very simple.Ila yuko sahihi ile special branch imeua sana Wakenya naona yeye hakuwa Happy kama Samia wetu.
Fedha za Kampeni angezipata wapi ni strategy nzuri.Angejiuzuru, very simple.
Kujiuzuru angeanza samia maana na yeye anasema ilikuwa ngumu kufanya kazi na JPM.Kwa nini hakujiuzuru?
Kumbe ukiwa mzalendo lazima uuawe!Anatafuta sifa....sifa hatoipata na ataishia futi sita huku akimuacha mkewe ni mjane
Vipi kuhusu samia alijiuzuru?Angejiuzuru, very simple.
Huu uzi anazungumziwa Ruto ama Samia?Kujiuzuru angeanza samia maana na yeye anasema ilikuwa ngumu kufanya kazi na JPM.
Mzalendo au mzaalindo la matatizoš¤Kumbe ukiwa mzalendo lazima uuawe!
Watazima wangapi? East Africa inaenda kuwa kijinga cha moto kweli kweli, tuiombee tu ipo namna tumewaponyoka na bado hatuwezi kurudi Misri japo kuna virus wamebaki, ila Mungu wetu si Athumani, atatusaidia...Hata sasa yeye ni EbenezerMkumbusheni asije gusa maslahi ya mzungu wasije kumzima betri.
wanasiasa ila wanafiki sanaRaisi wa Kenya William Ruto ni kama amesahau kuwa alikuwa Makamu wa Rais wa serikali iliyopita kwa sasa ameamua kuisimanga serikali iliyopita kuwa iliharibu uchumi kutokana na hilo naona maneno yaleyale ya hayati JPM kuwa wenzake hakuna alichofanya alivyokuwa akisema jukwanj naona na Ruto anapita humohumo.
Wanasiasa ni ngumu kuwaelewa na kujua kilichopo mioni mwaoView attachment 2389528
NakaziaKujiuzuru angeanza samia maana na yeye anasema ilikuwa ngumu kufanya kazi na JPM.
Not this time my friend, mark my words...Ruto atagonga kichwa cha kila mhujumu uchumi ndipo atakapo katishwa safari yake ya miaka10