Rais William Ruto ni mwanasiasa kiongozi, mwenyewe kipaji maalum na maono ya kiutawala

Rais William Ruto ni mwanasiasa kiongozi, mwenyewe kipaji maalum na maono ya kiutawala

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kivyovyote vile utakavyo muona kwa suru au kumsikiliza kwa maskio anachosema matokeo au hitimisho lake kwako, ni kwamba utamuamini na utampenda tu, ndivyo alivyo.

Na hiyo ni Neema, Baraka na karama ya kipekee sana aliyojaliwa na Mungu. Hana hofu, kiburi, ubishi, majivuno wala ubinafsi kuwajumuisha watu tofauti tofauti kwenye serikali yake.

Ana hekima na busara ya hali ya juu sana, anajua siasa, hana papara, anafahamu kuongoza watu na amejipanga na kujiandaa kupita kwenye changamoto zenye moto, joto au baridi la kisiasa kwa ujasiri na uhakika wa kufaulu mitihani yote bila mbambamba yoyote.

Ni mwanasiasa msikivu, mtulivu, kiongozi na mtawala mwenye utaratibu sana. kwenye machafuko anahimiza amani na utangamano. kwenye chuki anahubiri furaha. kwenye giza anapeleka nuru. Kwenye migawanyiko anazidisha juhudi za kuwaletea watu pamoja, kwa wanyonge na waliokata tamaa anawapa matumaini na ujasiri wa uhakika wa maisha yao.

Ni mtu wa kusema na kutenda. Ni msikivu msomi makini, hodari wa kuahidi na kutimiza ahadi zake kwa wakati kwa wananchi aliyo waahidi.

Ni suala la muda tu anakuja na Baraza la mawaziri jumuishi, litakalowaunganisha wakenya, litakalo konga nyoyo za wakenya wa makundi mbalimbali, na lisilo na sura ya ukabila, udini au ukanda, bali litakalo zingatia maslahi mapana ya Wakenya wote.

Gen z wametulia, Kenya imetulia, wakenya wamefaulu mitihani wa amani kwa pamoja.

Mungu Mbariki Rais Dr. Wiliam Arap Ruto,

Mungu ibariki Jamuhuri ya watu wa Kenya 🐒
 
Yuko vizuri sana! Hata mimi nam appreciate.
Ruto Alishapelekwa mahakama ta uhalifu wa kivita .The Hague

Ndio maana kawa mpole baada ya kuona waandamanaji wanauawa na polisi akaona The Hague Part 2 inakuja

Ndio kimembadilisha Aliapa kupambana nao waandamanaji kaona ohhhooo nitarudishwa tena kapoa na kubadilika .Woga wa the Haugue
 
Alishapelekwa mahakama ta uhal8fu wa kivita .The Hague

Ndio maana kawa mpole baada ya kuona waandamanaji wanauawa na polisi akaona The Hague Part 2 inakuja

Ndio kimembadilisha Aliapa kupambana nao kaona ohhhooo nitarudishwa tena kapoa
halafu wakili wake mkuu aliemtetea na kushinda kesi yake wakati huo, hivi sasa ndie Rais wa mahakama ya ICC Karim A. A.Ghan KC, dah 🤣

nadhani wenye hofu zaidi ni Rais mstaafu mwenye record na uzoefu wa kuorganise fujo, na Waziri mkuu mstaafu ambae ni mtaalamu na mastermind wa vurugu na uharibifu ambae yeye hakuwahi kukanyaga huko the Hague 🐒
 
"Mungu Mbariki Rais Dr. Wiliam Arap Ruto,
Mungu ibariki Jamuhuri ya watu wa Kenya "

Nawaza kuhamishia Mahaba yangu kwake.
 
"ukipenda chongo utaona kengeza".

Kwa sasa hivi katika siasa za Afrika anaenikosha ni Ibrahim Traore.
kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso sio?

naskia wameunda kamuungano kao kakijeshi na wanamapindizi wenzie eneo lile, dah!
ikiwa wataleta mageuzi kwenye maisha ya watu, vuguvugu la mapinduzi linaweza kusambaa zaidi maeneo mengine Africa...
 
kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso sio?

naskia wameunda kamuungano kao kakijeshi na wanamapindizi wenzie eneo lile, dah!
ikiwa wataleta mageuzi kwenye maisha ya watu, vuguvugu la mapinduzi linaweza kusambaa zaidi maeneo mengine Africa...
Naam, mimi napenda kiongozi asiyependa makuu na anaefanya maamuzi kwa ajili ya wananchi wake na siyo kwa ajili yake.

Mpaka sasa Ibrahim Traore kaonesha mifano mema.
 
Naam, mimi napenda kiongozi asiyependa makuu na anaefanya maamuzi kwa ajili ya wananchi wake na siyo kwa ajili yake.

Mpaka sasa Ibrahim Traore kaonesha mifano mema.
actually viongozi wa mapinduzi katika eneo lile mathalani Asim Goita wa Mali, Coln. Mamady Dumboya wa Guinea Conakry, Abdourahamane Tchiani wa Niger, na huyo Coln. Ibrahim Traore tangu hotuba, maelezo yao ya mwanzo na mienendo yao ya utawala na ungozi inaashiria kuleta mageuzi ya kweli katika maeneo yao husika.....

wana zaidi ya miaka miwili mamlakani hivi sasa, tuwape muda gani zaidi ili kujiridhisha na kuthibitisha kwamba wanaweza kuleta matokeo chanya kwenye maisha ya wananchi wao?🐒
 
actually viongozi wa mapinduzi katika eneo lile mathalani Asim Goita wa Mali, Coln. Mamady Dumboya wa Guinea Conakry, Abdourahamane Tchiani wa Niger, na huyo Coln. Ibrahim Traore tangu hotuba, maelezo yao ya mwanzo na mienendo yao ya utawala na ungozi inaashiria kuleta mageuzi ya kweli katika maeneo yao husika.....

wana zaidi ya miaka miwili mamlakani hivi sasa, tuwape muda gani zaidi ili kujiridhisha na kuthibitisha kwamba wanaweza kuleta matokeo chanya kwenye maisha ya wananchi wao?🐒
Nyota njema huonekana alfajiri.
 
Kivyovyote vile utakavyo muona kwa suru au kumsikiliza kwa maskio anachosema matokeo au hitimisho lake kwako, ni kwamba utamuamini na utampenda tu, ndivyo alivyo.

Na hiyo ni Neema, Baraka na karama ya kipekee sana aliyojaliwa na Mungu. Hana hofu, kiburi, ubishi, majivuno wala ubinafsi kuwajumuisha watu tofauti tofauti kwenye serikali yake.

Ana hekima na busara ya hali ya juu sana, anajua siasa, hana papara, anafahamu kuongoza watu na amejipanga na kujiandaa kupita kwenye changamoto zenye moto, joto au baridi la kisiasa kwa ujasiri na uhakika wa kufaulu mitihani yote bila mbambamba yoyote.

Ni mwanasiasa msikivu, mtulivu, kiongozi na mtawala mwenye utaratibu sana. kwenye machafuko anahimiza amani na utangamano. kwenye chuki anahubiri furaha. kwenye giza anapeleka nuru. Kwenye migawanyiko anazidisha juhudi za kuwaletea watu pamoja, kwa wanyonge na waliokata tamaa anawapa matumaini na ujasiri wa uhakika wa maisha yao.

Ni mtu wa kusema na kutenda. Ni msikivu msomi makini, hodari wa kuahidi na kutimiza ahadi zake kwa wakati kwa wananchi aliyo waahidi.

Ni suala la muda tu anakuja na Baraza la mawaziri jumuishi, litakalowaunganisha wakenya, litakalo konga nyoyo za wakenya wa makundi mbalimbali, na lisilo na sura ya ukabila, udini au ukanda, bali litakalo zingatia maslahi mapana ya Wakenya wote.

Gen z wametulia, Kenya imetulia, wakenya wamefaulu mitihani wa amani kwa pamoja.

Mungu Mbariki Rais Dr. Wiliam Arap Ruto,

Mungu ibariki Jamuhuri ya watu wa Kenya 🐒
#RuttoMustGo
 
#RutoMustNotGo🐒
Ruto can and will appoint a worse bunch of crooks than the ones he has pretended to have fired. He can and will bring all or some of the rotten bunch back if we don’t force him out now. No Kenyan elected MusaliaMudavadi.

Rotten crooks like his Chief of Staff, advisors, police goons, IG, DCI, the illiterate enforcers like Farouk Kibet and abductors who visited my home last week dressed in overalls and pretending to be Kenya Power workers are still intact.

#RutoMustResignNow #RutoMustGo
 
Back
Top Bottom