Na hii ndio mbinu aliyoitumia JPM, badala ya kuwabebesha wananchi mzigi mkubwa wa kodi, serikali zinapswa kuacha kununua mashangingi mapya na fenicha za maofisini kila mwaka, badala yake yafanyiwe tu ukarabati.., pia kubana uchezeaji pesa kwenye warsha, semina na safari za nje zisizo na tija..
View attachment 3034450View attachment 3034451
View attachment 3034452