Rais William Ruto wa Kenya afanyia kazi ushauri aliopewa JF ili kujinusuru

Tanzania haijawahi kuacha kununua magari ya gharama kwa serikali. JPM hotuba yake ya kwanza kwenye bunge alioneysha atasitisha ununuzi wa magari hayo akawa anasema anashangaa mtu anaenda kukagua barabara na landcruiser ya kifahari badala ya double cabin ila naye hakutekeleza hiki na kugongela msumali akanunua hadi ya chama na pole pole akawa anajisifu unaijua V8.
So kuhusu la magari hapo si kweli hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…