Rais yuko Marekani Matibabuni,Rais Mtarajiwa Matibuni Ujerumani

Rais yuko Marekani Matibabuni,Rais Mtarajiwa Matibuni Ujerumani

Sheba

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2009
Posts
211
Reaction score
98
Nchi yetu haiishiwi vituko. Rais yuko Marekani anatibiwa, Rais mtarajiwa Lowassa ambaye anaongoza kwenye kura za maoni naye yuko matibabuni Ujerumani. Walau tunajua Rais anaumwa tezi dume, anachoumwa Rais mtarajiwa hatukijui. Walau Rais anaumwa mwishoni mwa utawala wake lakini Rais mtarajiwa anaumwa hata hajaanza kampeni na amekuwa akienda Ujerumani mara kwa mara. Hii imekaaje wakuu? Si wakati sasa wa kutaka wagombea urais wachunguzwe afya zao na kuthibitishwa na bodi ya madaktari bingwa kabla hawajapitishwa na vyama vyao?
 
Kufa sio lazima uumwe. Unaweza ukafa hata unakula papuchi kama kilivyotokea kifo huko Bukoba.
 
Afya ya Mzee Richmond ni utata mkubwa huyu aweza mrith Lev Mwanawasa au Sata wa Zambia
 
Hicho usemacho ni official statement au tetesi.
 
Nchi yetu haiishiwi vituko. Rais yuko Marekani anatibiwa, Rais mtarajiwa Lowassa ambaye anaongoza kwenye kura za maoni naye yuko matibabuni Ujerumani. Walau tunajua Rais anaumwa tezi dume, anachoumwa Rais mtarajiwa hatukijui. Walau Rais anaumwa mwishoni mwa utawala wake lakini Rais mtarajiwa anaumwa hata hajaanza kampeni na amekuwa akienda Ujerumani mara kwa mara. Hii imekaaje wakuu? Si wakati sasa wa kutaka wagombea urais wachunguzwe afya zao na kuthibitishwa na bodi ya madaktari bingwa kabla hawajapitishwa na vyama vyao?

Maybe siku hizi sifa moja ya Urais ni kuwa mgonjwa...!!!!
 
Back
Top Bottom