Rais zuia.....

Pumzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2013
Posts
321
Reaction score
55
Rais kikwete kama siyo tangazo hebu wazuie hawa clouds media group ile sauti yako inayosikika unasifia fursa radio cloudz fm...mim nahisi kama wanakuchora vile kila muda wanapiga tu kama tangazo lao au kama ni tangazo wakulipe kama vipi
 
Hahaha!!!!!!!!
Kwani inakukera nn mkuu!!

Kama vip sikiliza redio nyingine!!!!!
 
Kwanin,mbona iko poa 2
 
Malimbukeni tu,hzo ni dalili za kutokujiamin,yaan kuwepo sauti ya jk bas wanaona clouds ndo kama radio ya london,wangejua wakina kanye ambavyo hawana shobo na obama tena rais wa dunia sembuse huyo wenu wa east africa?? Ulimbukeni tu,
 
Ni kweli yani wao wanaona kama ile sauti pale ndio kila k2
Malimbukeni tu,hzo ni dalili za kutokujiamin,yaan kuwepo sauti ya jk bas wanaona clouds ndo kama radio ya london,wangejua wakina kanye ambavyo hawana shobo na obama tena rais wa dunia sembuse huyo wenu wa east africa?? Ulimbukeni tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…