daveposta
Member
- Feb 19, 2011
- 52
- 8
Raisi JK kikwete na Philipo Mulugo naibu wazili wa Elimu na mafunzo ya ufundi kwa wakati tofauti walitangazia uma posta za walimu wapya ni mwezi january 2013 lakinihajakua hivyo zaidi ya kushuhudia wakishindwa hata kuilipia domainya wizara ya elimu.Raisi JK kikwete akiwa kati ya moja ya wizara yake mkoani tabora wiraya ya NZEGA aliwahidi wanaichi kuwa mwezi juanuary atawapelekea walimu kwa kuwa ni moja ya wiraya yenye upungufu kubwa wa walimu.
Raisi JK kikwete pia katika hotuba yake ya kufunga/kuuaga mwaka 2012 aliutangazia uma kwamba mwezi january wataajiri walimu wapya 28746
Philipo Mulugonaibu waziri wa Elimu katika kpndi cha dkk45 cha ITV aliahid wizara yake itatoa ajira kwa walim wapya mapema january, lkn cha ajabu january ndo hiyo imeisha bila ya tamko, huku vijana wetu wakiangahika mitaan wasijue nn cha kufanya na wkt huo huo shule nying zikiwa hazina walim na wimbi la kufel lkiwa na janga ssa, je serikal inawahadaa watz, au elim kwao si jambo la kipaumbele.
Philipo Mulugonaibu waziri wa Elimu katika mahafari ya chuo ualimu mkwawa aliahid wizara yake itatoa ajira kwa walim wapya mapema january, lkn cha ajabu january ndo hiyo imeisha.
JE WEWE UTAIAMINI VIPI HII SERIKALI YA VIONGOZI WAONGO?
Raisi JK kikwete pia katika hotuba yake ya kufunga/kuuaga mwaka 2012 aliutangazia uma kwamba mwezi january wataajiri walimu wapya 28746
Philipo Mulugonaibu waziri wa Elimu katika kpndi cha dkk45 cha ITV aliahid wizara yake itatoa ajira kwa walim wapya mapema january, lkn cha ajabu january ndo hiyo imeisha bila ya tamko, huku vijana wetu wakiangahika mitaan wasijue nn cha kufanya na wkt huo huo shule nying zikiwa hazina walim na wimbi la kufel lkiwa na janga ssa, je serikal inawahadaa watz, au elim kwao si jambo la kipaumbele.
Philipo Mulugonaibu waziri wa Elimu katika mahafari ya chuo ualimu mkwawa aliahid wizara yake itatoa ajira kwa walim wapya mapema january, lkn cha ajabu january ndo hiyo imeisha.
JE WEWE UTAIAMINI VIPI HII SERIKALI YA VIONGOZI WAONGO?