Hii ni zaisdi ya dharau ELNINO yaani haya ni matusi, anafikiri mia tano itampunguzia mtanzania machungu ya kukosa shule bora, huduma bora za afya, barabara bora na hata chakula. Well tuseme sawa kawapa mia tano, kwa maisha ya sasa ya Tanzania mia tano utanunua nini cha maana, yaani JK kaona waTZ ni wakuishi kwa mia tano kweli! nimeamini akutukanae akuchagulii tusi! kugawa mia tano maana yake ni kuwataka hawa waTz waendelee kuishi kwa kula kauzu na ugali wa unga robo, au kuwataka waTz waendelee kudhulika kwa kunywa kachaso, ndio maana mia tano ndio inatosha kununua kinibu kimoja cha kachaso! ooooh! nakukulia mama Tanzania, where the hell did we go wrong to deserve all these?