RAISI mpya wa Senegal afuta Kodi za bidhaa muhimu ili kupunguza gharama za maisha

RAISI mpya wa Senegal afuta Kodi za bidhaa muhimu ili kupunguza gharama za maisha

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Ili kupunguza ugumu wa maisha unaochangiwa na Ukosefu wa ajira na mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa huko Senegal, Bassirou Faye Rais mwenye Umri mdogo kuliko wote Afrika, ameamua kuondoa kodi katika bidhaa muhimu kama vile Mchele, Mafuta ya kupikia, mkate, mbolea nakadhalika.

Wakati hayo yakiendelea Huko Senegal, hapa nchini kwetu tumeona kwenye budget yetu tukiongezewa mzigo zaidi wa Kodi huku wakifikiria kutuwekea Kodi zaidi kwenye mafuta pamoja na tozo Kwa kila mtumiaji wa simu, viongozi hawa viziwi akina mwigulu na bashe ambao walitengeneza mfumuko wa bei hasa kwenye sukari wajifunze kwa bwana mdogo wa Senegal
20240615_140646.jpg
 
If one truly understands the dire situation of the people and is really concerned about their welfare, and takes concrete, unpretentious actions toward alleviating their poverty, then that's a leader to confide in and conspire with.
 
Back
Top Bottom