Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muheshimiwa Raisi wa Jamuhuri ya Tanzania,Kinachoendelea Bungeni ni aibu tupu kwa Taifa.Kwa uwezo uliokuwa nao vunja Bunge la katiba na uchague wajumbe wasio wanasiasa.nawasilisha
Haiwezekani maana katiba ni siasa labda CHADEMA wasusie mbali na hapo hakuna maana wao wamejipanga kuleta fujo bungeni
Muheshimiwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Kinachoendelea Bungeni ni aibu tupu kwa Taifa.Kwa uwezo uliokuwa nao vunja Bunge la katiba na uchague wajumbe wasio wanasiasa.nawasilisha
Huu ni ushauri wa kipuuzi kabisa siuuungi mkono hata kidogo.
Muheshimiwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Kinachoendelea Bungeni ni aibu tupu kwa Taifa.Kwa uwezo uliokuwa nao vunja Bunge la katiba na uchague wajumbe wasio wanasiasa.nawasilisha