Raisi wa Kenya amtakia heri ya Christmas na Mwaka mpya mbunge aliyemtukana

Kenyata bilashaka anatuma salamu nchi jirani hasa kinachoendelea kuhusu freedom of expression [emoji38][emoji38][emoji38]
Daaah akipata taarifa kesho ataitolea ufafanuzi. ..
 
Kibongo bongo hata media yenyewe ingepigwa X wengine wakafuta.
 
Na Uhuru alivyoichukulia ile issue kishkaji itakuwa haina effect yoyote ndani ya miez kadhaa watu wameshaisahau
Ila visasi vya bwana mkubwa hadi anaingia kaburini watu hawatamsahau.
Na asiombe 2020 washindwe kuchakachua kura.
True. ..unafahamu ukichukulia kila kitu simple hakuna litakalo kusumbua ila ukijifanya wewe hukosolew au kukutana na dhihaka hutoenda mbele. ..
 

kama ni hivyo, basi Kenya haifuati sheria. nijuavyo Mimi, mtu akifanya kosa, anahukumiwa kwa mujibu wa sheria, na si kwa utashi wa mtu aliyefanyiwa kosa.
kumtukana mtu yeyote (kutia ndani na RAIS) ni kosa kisheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…