Any comments?
1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake
2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi
3.Rais wa kwanza duniani kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini
4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu wake unatokana na nini.
5. Rais wa kwanza duniani kuchakachuliwa mafuta kwenye gari yake ikazima barabarani
6. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha bora!
7. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu)
8. Rais wa kwanza aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni kiherehere chao....
9. Rais wa kwanza anayeogopa mafisadi.
10.Rais wa kwanza duniani aliyetumia mabango yote ya biashara nchini kwake kujinadi wakati wa kampeni mpaka picha zake za utoto.
11.Rais wa kwanza duniani aliyesema hahitaji kura za wafanyakazi
12. Rais wa kwanza duniani anayefanyiwa kampeni na mke na mtoto wake pekee.
13. Rais wa kwanza duniani anayependa sana totoz
14. Rais wa kwanza duniani aliyechaguliwa kwa kuwa na sura nzuri
15. Rais wa kwanza duniani anayetoa ahadi ambazo kimsingi hazitatekelezeka
16. Rais wa kwanza kuwaiga wapinzani wake kutumia Helikopta katika kambeni zake za kugombea urais
17. Raisi wa kwanza duniani kuogopa Mdahalo
18. Rais wa kwanza duniani aliyetumia wanamuziki wa bongo flava kwenye kampeni zake
19. Rais wa kwanza duniani aliyetumia gari mpya (New Model) wakati wa kampeni.
NB
unaruhusiwa kuongeza sifa iliyosahaulika...
Regards,
Mimi
1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake
2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi
3.Rais wa kwanza duniani kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini
4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu wake unatokana na nini.
5. Rais wa kwanza duniani kuchakachuliwa mafuta kwenye gari yake ikazima barabarani
6. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha bora!
7. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu)
8. Rais wa kwanza aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni kiherehere chao....
9. Rais wa kwanza anayeogopa mafisadi.
10.Rais wa kwanza duniani aliyetumia mabango yote ya biashara nchini kwake kujinadi wakati wa kampeni mpaka picha zake za utoto.
11.Rais wa kwanza duniani aliyesema hahitaji kura za wafanyakazi
12. Rais wa kwanza duniani anayefanyiwa kampeni na mke na mtoto wake pekee.
13. Rais wa kwanza duniani anayependa sana totoz
14. Rais wa kwanza duniani aliyechaguliwa kwa kuwa na sura nzuri
15. Rais wa kwanza duniani anayetoa ahadi ambazo kimsingi hazitatekelezeka
16. Rais wa kwanza kuwaiga wapinzani wake kutumia Helikopta katika kambeni zake za kugombea urais
17. Raisi wa kwanza duniani kuogopa Mdahalo
18. Rais wa kwanza duniani aliyetumia wanamuziki wa bongo flava kwenye kampeni zake
19. Rais wa kwanza duniani aliyetumia gari mpya (New Model) wakati wa kampeni.
NB
unaruhusiwa kuongeza sifa iliyosahaulika...
Regards,
Mimi