NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hilo halina ubishi kabisa, na lisipotolewa macho tusije kushangaa fainali zote zikaishia tanga ili bwana mkubwa afurahi yeye na moyo wake.
Huu ni upendeleo wa hali ya juu angalia mkoa Kama songea Mara ya mwisho kwenda/kupata mechi Kama hizo haifahamiki ilikua lini? Lakini pia Kuna uwanja Kama CCM kirumba mwanza hakika unastahili pakubwa tu katika kupata michuano Kama hii.
Tanga imependelewa katika fainali ya Kombe la FA Yanga na Azam walicheza pale lakini Cha ajabu kombe la ngao ya jamii nalo limerudi pale kuanzia nusu mpaka fainali.
Uwanja wa Tanga siyo Bora na hakuna muamko wa mashabiki Kama sehemu nyingine.
Karia na kikosi chake TFF wanapaswa kutakari kwa hiki walichokifanya tofauti na hapo kila Raisi atakae kuja atakua anapeleka kwao/mkoa aliotoka hata Kama hakuna vigezo.
Huu ni upendeleo wa hali ya juu angalia mkoa Kama songea Mara ya mwisho kwenda/kupata mechi Kama hizo haifahamiki ilikua lini? Lakini pia Kuna uwanja Kama CCM kirumba mwanza hakika unastahili pakubwa tu katika kupata michuano Kama hii.
Tanga imependelewa katika fainali ya Kombe la FA Yanga na Azam walicheza pale lakini Cha ajabu kombe la ngao ya jamii nalo limerudi pale kuanzia nusu mpaka fainali.
Uwanja wa Tanga siyo Bora na hakuna muamko wa mashabiki Kama sehemu nyingine.
Karia na kikosi chake TFF wanapaswa kutakari kwa hiki walichokifanya tofauti na hapo kila Raisi atakae kuja atakua anapeleka kwao/mkoa aliotoka hata Kama hakuna vigezo.