Raisi yupi wa Tanzania na Marekani uliwahi mpenda Kwa Moyo?

Raisi yupi wa Tanzania na Marekani uliwahi mpenda Kwa Moyo?

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Za asubuhi na za kwenu , rahisi yupi umewahi mpenda na ukaona atafanya mabadiliko kwenye hizi nchi mbili
Amerika nilimpenda sana George Bush Kwa sababu alikuwa hataki utani mwanga ugali na mwaga mboga .
Tanzania wote tu

Baba wa taifa Kwa Raha zake nchi ilikuwa yenye maadili , hela mpaka tuliipita Kenya shillingi yetu ilikuwa juu. Mashoga walikuwepo wengi sana . Ila walijificha , hata wale Malaya Kimya waliheshimu uhuru
Raisi mwingi kila kitu ruksa , haya weeh alifanya wahindi watuletee tv za black and white .

Raisi Kikwete huyu baba nilimpenda ongea yake alivyoo na Wala sikuhitaji abadili kitu ila kumuona tu yupo anaongea ongea na kula Raha sana .

Raisi Mkapa , alikuwa anajua anajitambua , anajichukua na kujipenda

Raisi mwingine John Pombe Magufuli huyu Mzee katupeleka puta ila nampenda sana hujui tu.

Mwingine ni huyu
Maza wa heshima sijui anafanya Nini hadi Sasa ila namkubali maana anajitahidi na maamuzi yake ni yabusara maana kama sio tungekuwa pabaya ila namkubali Sana. Kwanza kuongoza wanaume aisee hii ni nzuri sana . Umeupiga mwingi Raisi wangu mama kifaa Cha wanawake najua sio wote wanakupenda hapana ila mie napenda tu upo juu ya Hawa wanaume .

Maraisi wangu wote watanzania na Visiwani niliwapenda wote niliwaaminia Kwa kazi nzuri hapo mnaubaguzi sana .

Kwenu nyie mlimpenda Raisi yupi na kwanini
 
Kwa Marekani sifuatilii sana ila kuna yule Rais aliyekomaa kukomesha utumwa wakati wa American Civil War ni Washington nafikiri

Kwa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan, sijawahi kuipigia kura CCM ila kwa Samia nitapiga
 
▪︎ Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Novemba 2015 - Machi 2021)

▪︎ Donald John Trump
President of the United States of America (January 2017 - January 2021)

Nyongeza:
▪︎ Xi Jinping
President of the People's Republic of China (March 2013 to present)

▪︎ Boris Johnson
Prime Minister of the United Kingdom (July 2019 to September 2022)

▪︎ Vladimir Vladimirovich Putin
President of Russia

▪︎ Volodymyr Zelenskyy
President of Ukraine
 
Za asubuhi na za kwenu , rahisi yupi umewahi mpenda na ukaona atafanya mabadiliko kwenye hizi nchi mbili
Amerika nilimpenda sana George Bush Kwa sababu alikuwa hataki utani mwanga ugali na mwaga mboga .
Tanzania wote tu

Baba wa taifa Kwa Raha zake nchi ilikuwa yenye maadili , hela mpaka tuliipita Kenya shillingi yetu ilikuwa juu. Mashoga walikuwepo wengi sana . Ila walijificha , hata wale Malaya Kimya waliheshimu uhuru
Raisi mwingi kila kitu ruksa , haya weeh alifanya wahindi watuletee tv za black and white .

Raisi Kikwete huyu baba nilimpenda ongea yake alivyoo na Wala sikuhitaji abadili kitu ila kumuona tu yupo anaongea ongea na kula Raha sana .

Raisi Mkapa , alikuwa anajua anajitambua , anajichukua na kujipenda

Raisi mwingine John Pombe Magufuli huyu Mzee katupeleka puta ila nampenda sana hujui tu.

Mwingine ni huyu
Maza wa heshima sijui anafanya Nini hadi Sasa ila namkubali maana anajitahidi na maamuzi yake ni yabusara maana kama sio tungekuwa pabaya ila namkubali Sana. Kwanza kuongoza wanaume aisee hii ni nzuri sana . Umeupiga mwingi Raisi wangu mama kifaa Cha wanawake najua sio wote wanakupenda hapana ila mie napenda tu upo juu ya Hawa wanaume .

Maraisi wangu wote watanzania na Visiwani niliwapenda wote niliwaaminia Kwa kazi nzuri hapo mnaubaguzi sana .

Kwenu nyie mlimpenda Raisi yupi na kwanini
Mwl Julius K. Nyerere nilimkubali sana. Na Kwa US nilimkubali sana Bill Clinton
 
Za asubuhi na za kwenu , rahisi yupi umewahi mpenda na ukaona atafanya mabadiliko kwenye hizi nchi mbili
Amerika nilimpenda sana George Bush Kwa sababu alikuwa hataki utani mwanga ugali na mwaga mboga .
Tanzania wote tu

Baba wa taifa Kwa Raha zake nchi ilikuwa yenye maadili , hela mpaka tuliipita Kenya shillingi yetu ilikuwa juu. Mashoga walikuwepo wengi sana . Ila walijificha , hata wale Malaya Kimya waliheshimu uhuru
Raisi mwingi kila kitu ruksa , haya weeh alifanya wahindi watuletee tv za black and white .

Raisi Kikwete huyu baba nilimpenda ongea yake alivyoo na Wala sikuhitaji abadili kitu ila kumuona tu yupo anaongea ongea na kula Raha sana .

Raisi Mkapa , alikuwa anajua anajitambua , anajichukua na kujipenda

Raisi mwingine John Pombe Magufuli huyu Mzee katupeleka puta ila nampenda sana hujui tu.

Mwingine ni huyu
Maza wa heshima sijui anafanya Nini hadi Sasa ila namkubali maana anajitahidi na maamuzi yake ni yabusara maana kama sio tungekuwa pabaya ila namkubali Sana. Kwanza kuongoza wanaume aisee hii ni nzuri sana . Umeupiga mwingi Raisi wangu mama kifaa Cha wanawake najua sio wote wanakupenda hapana ila mie napenda tu upo juu ya Hawa wanaume .

Maraisi wangu wote watanzania na Visiwani niliwapenda wote niliwaaminia Kwa kazi nzuri hapo mnaubaguzi sana .

Kwenu nyie mlimpenda Raisi yupi na kwanini
Magufuli na Kennedy
 
Una uhakika atagombea?
[emoji830]︎ Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Novemba 2015 - Machi 2021)

[emoji830]︎ Donald John Trump
President of the United States of America (January 2017 - January 2021)

Nyongeza:
[emoji830]︎ Xi Jinping
President of the People's Republic of China (March 2013 to present)

[emoji830]︎ Boris Johnson
Prime Minister of the United Kingdom (July 2019 to September 2022)

[emoji830]︎ Vladimir Vladimirovich Putin
President of Russia

[emoji830]︎ Volodymyr Zelenskyy
President of Ukraine
Trump ndio balaa kabsa kwenye iyo list yako ana msimamo mkali sijawahi ona ase
 
Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

[emoji830]︎ Donald John Trump
President of the United States of America

Nyongeza:
[emoji830]︎ Xi Jinping
President of the People's Republic of China

[emoji830]︎ Thomas Sankara
President of Burkinafasso

[emoji830]︎ Vladimir Vladimirovich Putin
President of Russia

[emoji830]︎ Idd Amin Dadaa
President of Uganda

[emoji830]︎ Paul Kagame
President of Rwanda
 
Za asubuhi na za kwenu , rahisi yupi umewahi mpenda na ukaona atafanya mabadiliko kwenye hizi nchi mbili
Amerika nilimpenda sana George Bush Kwa sababu alikuwa hataki utani mwanga ugali na mwaga mboga .
Tanzania wote tu

Baba wa taifa Kwa Raha zake nchi ilikuwa yenye maadili , hela mpaka tuliipita Kenya shillingi yetu ilikuwa juu. Mashoga walikuwepo wengi sana . Ila walijificha , hata wale Malaya Kimya waliheshimu uhuru
Raisi mwingi kila kitu ruksa , haya weeh alifanya wahindi watuletee tv za black and white .

Raisi Kikwete huyu baba nilimpenda ongea yake alivyoo na Wala sikuhitaji abadili kitu ila kumuona tu yupo anaongea ongea na kula Raha sana .

Raisi Mkapa , alikuwa anajua anajitambua , anajichukua na kujipenda

Raisi mwingine John Pombe Magufuli huyu Mzee katupeleka puta ila nampenda sana hujui tu.

Mwingine ni huyu
Maza wa heshima sijui anafanya Nini hadi Sasa ila namkubali maana anajitahidi na maamuzi yake ni yabusara maana kama sio tungekuwa pabaya ila namkubali Sana. Kwanza kuongoza wanaume aisee hii ni nzuri sana . Umeupiga mwingi Raisi wangu mama kifaa Cha wanawake najua sio wote wanakupenda hapana ila mie napenda tu upo juu ya Hawa wanaume .

Maraisi wangu wote watanzania na Visiwani niliwapenda wote niliwaaminia Kwa kazi nzuri hapo mnaubaguzi sana .

Kwenu nyie mlimpenda Raisi yupi na kwanini
Mkapa na George Bush
 
Back
Top Bottom