Raisi yupi wa Tanzania na Marekani uliwahi mpenda Kwa Moyo?

JKN na Bill Clinton
 
Kwa Marekani sifuatilii sana ila kuna yule Rais aliyekomaa kukomesha utumwa wakati wa American Civil War ni Washington nafikiri

Kwa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan, sijawahi kuipigia kura CCM ila kwa Samia nitapiga
Anaitwa Abraham Lincoln
 
Wew na mim ni pacha
 
JOHN KENEDY
JOHN MAGUFULI
 
Kikwete na Trump

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Benjamin Mkapa, John Magufuli. Donald Trump

Wengine

Vladimir Putin wa Russia [emoji635]

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Hapa naona u under 18
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…