Go ahead, search na weka huo wasifu wake. Si lazima nifanye mimi. Hoja yangu ya kuanzisha thread ilikuwa kuona kama ni kweli nchi hii hakuna rushwa? Na ni kweli wapinzani wana ubaguzi.
Umeamua kutoka nje ya hoja. Yes, this is the Home of Great Thinkers! Should I say more?
kama ulikuwa na nia ya kuzungumzia ubaguzi wa upinzani na rushwa tanzania ulienda kui-search-ia nini picha yake na kutubandikia hapa?
na kilichokupa kuifuta baadae kitu gani?
Thanks JF. Nimepitia posts zako nyingi na thread zako 2 ulizoanzisha . . . I got a clear picture.
Count that you are a winner!
kama ulikuwa na nia ya kuzungumzia ubaguzi wa upinzani na rushwa tanzania ulienda kui-search-ia nini picha yake na kutubandikia hapa?
na kilichokupa kuifuta baadae kitu gani?
Haiingii akilini, kwa nchi ambayo imejaaa corruption, someone anadai hakuna corruption - Tume ya Warioba ilishadhihirisha hilo acha proofs nyingi ambazo zipo.
Ubaguzi? Kuna rangi isiyo nyeusi aliwahi kwenda oppossition akafukuzwa?
Aliyekuwa ana-Champion sera za uzawa ni wa chama gani?
Kwa kweli nimechoooooka!
Bwana Patel,Guys, remember we do have TAkukuru which is doing a wonderful job when it comes to nab corrupt people. So far neither CCM nor JK has been indicted, not even a single cabinet minister. Therefore, the fact is there's no corruption within CCM.
Vote CCM vote JK
Bwana Patel,
Takukuru is also corrupt. So it turns a blind eye on corrupt officials. An example is just the recent CCM primaries. Everyone was bribing but
only a few were taken to task. The whole of CCM is corrupt from top down.
Do you have any evidence to support your claim against Takukuru? So far Takukuru has done a marvelous job since it was established