SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Dunia nzima bado inajadili tetemeko la Samba Loketo lililotokea siku ya Jumamosi mjini Dar es Salaam.
Moja wa mahasimu wakubwa wa Simba SC barani Afrika, Raja AC nao wameonekana kushtushwa na ubora na wingi wa magoli ambayo Simba walimtandika Horoya.
Tukumbuke Raja alimfunga Horoya kwa shida sana vigoli 2-0 na 3-1 pale walipokutana.
Embu jionee mwenyewe reaction ya Raja kutokana na ushindi wa Simba.
Moja wa mahasimu wakubwa wa Simba SC barani Afrika, Raja AC nao wameonekana kushtushwa na ubora na wingi wa magoli ambayo Simba walimtandika Horoya.
Tukumbuke Raja alimfunga Horoya kwa shida sana vigoli 2-0 na 3-1 pale walipokutana.
Embu jionee mwenyewe reaction ya Raja kutokana na ushindi wa Simba.