Nyinyi Horoya wabovu kama hawa👇Sisi horoya ni wabovu sana. Simba mmepiga Bomu mochwari mnajiona livepooli
Hii mechi walifungwa watu wengi sanaDunia nzima bado inajadili tetemeko la Samba Loketo lililotokea siku ya Jumamosi mjini Dar es Salaam...
Mpk mzee mpiliHii mechi walifungwa watu wengi sana
Na Hawa je
"TPL,,?mwaka 1938 akukuwa na ligi inaitwa tpl,1930's kulikua na michuano inaitwa Sunlight cup😅Na Hawa jeView attachment 2559160
Wakikujibu nitag [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpk mzee mpili
Na hiki ndicho tutakacho mfanya Yanga mapema mwezi ujao..
Na Hawa jeView attachment 2559160
Narudia tena kwa msisitizo hiko ndicho tutakachomfanya utopolo mapema mwezi ujao..Shtuka Utajikojolea Kitandani.
Hii itakuwa ni dunia ya Msimbazi 😂😂😂Dunia which, where, how? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣tupumzisheni basi wanathimbaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii itakuwa ni dunia ya Msimbazi 😂😂😂
Simba anatisha hata wao wanajua hilo. Robertinho ameprove anaweza kumfunga Nabi.Narudia tena kwa msisitizo hiko ndicho tutakachomfanya utopolo mapema mwezi ujao..