Raja Casablanca 1-0 Namungo | Mohammed V Stadium | CAF Confederation

Raja Casablanca 1-0 Namungo | Mohammed V Stadium | CAF Confederation

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Timu ya Namungo iko ugenini nchini Morocco kukipiga na Raja Casablanca kwenye michuano ya Shirikisho Afrika hatua ya makundi. Mpira uko mapumziko na mpaka sasa Raja Casablanca na Namungo hakuna alieona nyavu za mwenzake. Kuwa nami kukujuza ngwe ya pili ya mchezo huu.

=======

45' Kipenga kimepulizwa kuashiria kuanza kwa kipindi cha pili

49' Boyan Omar anaingia baada ya mchezaji wa Raja kuumia mchezoni

52' Raja Casablanca wanapata Penalti baada ya Perenge kuunawa ndani ya 18

53' Sufian anaweka goli la kwanza kwa Raja kwa mkwaju wa penalt.

66' Kadi nyekundu kwa Haruna Shamte

90' Mpira umekwisha
 
Mpira uko mapumziko na mpaka sasa Raja Casablanca na Nambungo hakuna alieona nyavu za mwenzake. Kuwa nami kukujuza ngwe ya pili ya mchezo huu.

45' Kipenga kimepulizwa kuashiria kuanza kwa kipindi cha pili
Nikiwa Tz nitaishabikia Namungo, as well composed team
 
Mpira uko mapumziko na mpaka sasa Raja Casablanca na Nambungo hakuna alieona nyavu za mwenzake. Kuwa nami kukujuza ngwe ya pili ya mchezo huu.

45' Kipenga kimepulizwa kuashiria kuanza kwa kipindi cha pili
Unitaag please
 
Ball possession
Screenshot_20210310-201631.png
 
Hii game ya Namungo wangekuwa Nyau na wako pungufu wangepigwa wiki
 
Back
Top Bottom