mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
- Thread starter
-
- #41
Ubora hauchagui uwanja [emoji2522]Week akiba ya maneno..kumbuka mnyama Simba yupo lupaso
Nakazia NakaziWeek akiba ya maneno..kumbuka mnyama Simba yupo lupaso
Pamoja sana mkuu. Mtapata raha sana iyo kesho..Tupo pamoja Africa ni moja twende Morocco kama ilivyo kua kwe worldcup
Huyu kina Sakho, Phiri na Baleke watakuwa wanampita kama amesimamaNawakumbusha tu huyo ndiyo beki Bora wa week cafcl [emoji2923][emoji375] [emoji91][emoji91]
Hawa kina boco na Kibu D nawaonea huruma sana[emoji23]View attachment 2520267View attachment 2520268
Wasiokuwa wajinga huko ni wawili tuSio wewe bana umeona hapo nimesema wengi sio wote..
Kuna watu Mavi yanawagonga vyupi vyao[emoji23][emoji23][emoji23]. Hatuachi point hata Moja, ni kipigo heavy kwenda mbele[emoji91][emoji91][emoji106]View attachment 2521520
Mkuu Ni watu wajinga pekee ndio huamini uchawi kufanikisha mambo yao. Yaani wahangaike kumsajili Sawadogo na baleke halafu wategemee uchawi uwavushe[emoji23][emoji23]Nipo nacheki CCTV camera za matukio ya jana usiku kwa mkapa asee jana watu wamefanya uchafu sana pale uwanjani.
Ila Raja [emoji1659][emoji1659][emoji172] bado Yuko katika nafasi nzuri ya kushinda