Wamef*rana nini?Nipo nacheki CCTV camera za matukio ya jana usiku kwa mkapa asee jana watu wamefanya uchafu sana pale uwanjani.
Ila Raja [emoji1659][emoji1659][emoji172] bado Yuko katika nafasi nzuri ya kushinda
Hamna team iyo [emoji16][emoji1173]Baadae msikimbie
Patamu sana lepNawakumbusha tu huyo ndiyo beki Bora wa week cafcl [emoji2923][emoji375] [emoji91][emoji91]
Hawa kina boco na Kibu D nawaonea huruma sana[emoji23]View attachment 2520267View attachment 2520268
[emoji23][emoji23][emoji23]Raja nguvu moja!
Ubaya ubaya[emoji23][emoji23][emoji23]
Kalpana, kutokushangilia Simba au Yanga haimaanishi kuwa ni ukosefu wa uzalendo.Yani kaenda kuanzisha Id mpya ili awe mwarabu....aiseee Tanzania tuna safari ndefu...kwanza huu uchawi wa chuki baina ya Timu hizi mbili hiyo ya Taifa tusahau kuja kufanya vzr..