Rajab Matimbwa muasisi wa kwaya ya TANU 1954

Rajab Matimbwa muasisi wa kwaya ya TANU 1954

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
MZEE MATIMBWA KIONGOZI WA KWAYA YA TANU 1954 ANAKUMBUSHA NYIMBO ZA KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA CHAMA

Mzee Rajab MATIMBWA ni kati ya wanachama wa mwanzo kujiunga na TANU mwaka wa 1954.

Licha ya kuwa mwanachama yeye na wenzake waliunda kwaya kuhamasisha Watanganyika kujiunga na TANU kudai uhuru.

Leo kanitembelea nyumbani na kaniimbia nyimbo walizokuwa wanaimba katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja.

Sikiliza hazina hii ya nyimbo chache alizoniimbia.

 
  • Thanks
Reactions: Pep
Ahsante kwa historia

Tizama ramani utaona nchi nzuri, melody nzuri sana.

Kwa minajili hii basi inaonekana wimbo wa taifa tulio nao sasa MZEE MATIMBWA anao mkono wake pale

Nasema uongo mzee Mo?
 
Ahsante kwa historia

Tizama ramani utaona nchi nzuri, melody nzuri sana.

Kwa minajili hii basi inaonekana wimbo wa taifa tulio nao sasa MZEE MATIMBWA anao mkono wake pale

Nasema uongo mzee Mo?
Pep...
Hakika Mzee Rajab ana mengi.
 
Back
Top Bottom