Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Hakuna mchezaji hapa, hawa ndio wakuachwa msimu ujao- toka amekuja Simba sijaona Kikubwa alichofanya.Huyu jamaa huwa haoni mbele?
Pasi nyingi anapiga kuelekea golini kwake.
Haya ni maoni yakoHaoni mbele, kwahiyo anaona nyuma
Simba wameenda mbele kipindi cha pili kwasababu yanga huwa ni timu inayochoka baada ya dakika 50 za mchezo.Huenda huangalii mpira wewe, bwalya ana movements za mbele, ukiona hajaenda mbele basi kuna tatizo.
Game ya leo, bwalya alipoingia yanga walikuwa wamepaki basi na kushambulia kwa kushitukiza, ikiwa hivi watu wasio na mpira inabidi wampe machaguzi mwenye mpira kwa mikimbio yao lwenye nafasi, sasa wachezaji wameganda hawajiweki katika nafasi ya kuomba mpira unategemea aupeleke wapi, matokeo yake ni hizo back pass, pin point kwa wingi na square passes tu.
Simba ni ya kurekebishwa, nina mashaka na uwezo wa kocha.
Nb. Ni bwalya huyo ndio alipoingia atleast simba pale kati ikacheza, kipindi yupo benchi simba pale kati walifichwa ni yanga tu ndio walikuwa wanatamba pale.
Yanga wachovu baada ya dakika 50, angalia game zao zote.Bwalya alivyoingia timu ndio ikaanza kuflow au wewe ulikua unaangalia mechi ipi?
Tutakesha.Simba wameenda mbele kipindi cha pili kwasababu yanga huwa ni timu inayochoka baada ya dakika 50 za mchezo.
Bwalya kila siku anapiga pasi za nyuma tu.
Bado tutaona mengiHuyu jamaa huwa haoni mbele?
Pasi nyingi anapiga kuelekea golini kwake.
Hapo hakuna mchezajiHuyu jamaa huwa haoni mbele?
Pasi nyingi anapiga kuelekea golini kwake.
Jamaa hana manufaa yoyote.Hakuna mchezaji hapa, hawa ndio wakuachwa msimu ujao- toka amekuja Simba sijaona Kikubwa alichofanya.
Nyie ndio mmezoea mpira ni kubutua tu mbele kuna wakat inabidi uwavute wapinzani ili nafas ipatikane, acha kumlaumu Bwalya ila wachezaji anaochza nao ndio vilaza wakipewa basi either wapoteze au wabutueHuyu jamaa huwa haoni mbele?
Pasi nyingi anapiga kuelekea golini kwake.
Bwalya huwa anapiga pasi nyuma hata sehemu ambayo kuna chance ya kupiga za kwenda mbele.Nyie ndio mmezoea mpira ni kubutua tu mbele kuna wakat inabidi uwavute wapinzani ili nafas ipatikane, acha kumlaumu Bwalya ila wachezaji anaochza nao ndio vilaza wakipewa basi either wapoteze au wabutue
Leo mashabiki wa mnyama hawakuwa na matumaini makubwa.Simba timu ya kijinga kabisa.Mbwembwe na kujiaminisha kwingiiiiiii halafu hamna kitu.
Hovyo kabisaaa
Simba wameenda mbele kipindi cha pili kwasababu yanga huwa ni timu inayochoka baada ya dakika 50 za mchezo.
Bwalya kila siku anapiga pasi za nyuma tu.
Huyu jamaa huwa haoni mbele?
Pasi nyingi anapiga kuelekea golini kwake.