Harmonize magari 6 na nyumba kibaoBwalya-Mechi 10
Assist 0
Goal 0
Feisalum-mechi 12
Assist 3
Goals 4
Tutazame na wa ndani kwanza huyo shiboub hafikii hatu nusu ya uwezo wa mkandala..hata Tepsie evance angechezea timu za kariakoo asingeonekana kitu ila wangepambwa kina monster duncan
Shiboub anarudi kwa njia ya Mapinduzi cupKila nikimtizama Rally Bwalya najiuliza kwanini Shiboub asisajiliwe kuziba nafasi ya Bwalya? Yule Msudani amemzidi kila kitu huyu dogo mzambia.
Uzi tayari.
View attachment 2065478
Bwalya bomu sana turn back nyingi sana halafu game dictating hana, Simba now hatuna playmakerHii style pale ulaya inaitwa gegen pressing mamaeee.....simba tamu nyie
Kama mlivyookota kwa MakamboMmeanza kuokota makapi
Huyu si aliikimbia Miba? Kwahiyo nae ameshajiganga vya kutosha hivyo karudi Mibani ili awakomeshe waliomkomesha Yeye awali?Kila nikimtizama Rally Bwalya najiuliza kwanini Shiboub asisajiliwe kuziba nafasi ya Bwalya? Yule Msudani amemzidi kila kitu huyu dogo mzambia.
Uzi tayari.
View attachment 2065478
ShibobuBwalya bomu sana turn back nyingi sana halafu game dictating hana, Simba now hatuna playmaker
Shiboub hata mimi namkubali sana huyu jamaa. Kuna goli aliwafunga Azam FC kipindi fulani yaani alinifurahisha sana. Halafu ni mtu wa kazi sio show game kama Bwalya na Chama. Mechi za kutumia nguvu Bwalya na Chama huwa wanahama kabisa katikati na kukimbilia pembeni ila sio huyu Shiboub. Simba ikimrudisha itakuwa imepata mtu wa kazi.Kwa kifupi tu ukiachana na ujio wa Shiboub a.k.a Zenadine Zidane Zaizou,huyu Raly Bwalya likipatikana soko auzwe au atolewe kwa nkopo uyu ntu.
Bwalya aliisoma coment yako na kisha akakujibu uwanjani leo dhidi ya selem view mapinduzi cup, tujitahidi kuweka akiba ya maneno mkuu.Shiboub hata mimi namkubali sana huyu jamaa. Kuna goli aliwafunga Azam FC kipindi fulani yaani alinifurahisha sana. Halafu ni mtu wa kazi sio show game kama Bwalya na Chama. Mechi za kutumia nguvu Bwalya na Chama huwa wanahama kabisa katikati na kukimbilia pembeni ila sio huyu Shiboub. Simba ikimrudisha itakuwa imepata mtu wa kazi.
Sasa kwa wale wala ulojo ndy alipotaftia jibu kweliBwalya aliisoma coment yako na kisha akakujibu uwanjani leo dhidi ya selem view mapinduzi cup, tujitahidi kuweka akiba ya maneno mkuu.
Ulitaka amjibu ligi itaporejea? Angesahau uyu mkuuSasa kwa wale wala ulojo ndy alipotaftia jibu kweli
Goli tamu sana!Sasa kwa wale wala ulojo ndy alipotaftia jibu kweli
Nakushukuru Mkuu kwa kumwelewesha ndugu yangu.Sasa kwa wale wala ulojo ndy alipotaftia jibu kweli
Kama huoni anachokifanya uwanjani basi ni timu nzima itakua haikabi,haifungi ipo ipo tu.Bwalya mkataba ukiisha aondoke tu- hakuna anachofanya Simba- hakabi- hafungi- hasaidii kufunga- yaani yupo yupo tu- alafu eti ni mchezaji wa kutoka nje