INAUZWA RAM zinauzwa bei nafuu

southernboy

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
882
Reaction score
1,075
RAM zinauzwa kama zinavooneshwa kwenye picha hapa chini zipo za 2gb na 4gb jumla zote zipo 4 chukua zote kwa 100k ni nzima na zilitumika kwenye computer za kufundishia kwa muda tuu
bei zake mojamoja ni.
2gb ni 20,000/=
4gb ni 40,000/=
ukichukua zote ni 100k.
karibuni napatikana Dodoma kwa mawasiliano karibu inbox

 
RAM zinauzwa kama zinavooneshwa kwenye picha hapa chini zipo za 2gb na 4gb jumla zote zipo 4 chukua zote kwa 100k ni nzima na zilitumika kwenye computer za kufundishia kwa muda tuu bei zake mojamoja ni.

2gb ni 20,000/=
4gb ni 40,000/=
Ukichukua zote ni 100k.

Karibuni napatikana Dodoma kwa mawasiliano karibu inbox


 
π™½πš’πš”πšŠπš“πšžπšŠ 4πšπš‹ πšžπš—πšŠπšžπš£πšŠ 15πšπš‘ πš—πšπš˜ πš‹πšŽπš’ πš™πš˜πšŠ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…