Ni kampuni ya kuaminika na wana magari mazuri. Mimi pia ni mteja wao ,nimenunua magari mawili ,yalikuja na hali nzuri sijapata usumbufu. Muda kwa order ni kama wiki 3 hivi mali inafika bandarini. Kwa bei wako juu, ila ubora ulinifanya nirudi tena kwao.