Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 650
- 1,016
Pasaka imeenda
Ramadhan imekwisha
Sasa turudi kwenye ujenzi wa Taifa. Kuna waliokuwa wanafanya mashindano kulisha iftar, iftar ilikuwa sio Ibada Tena bali mashindano.
Uvaaji wa Baragashia na kanzu ukawa fasheni kwa haraka haraka ungeingia tanzania kama huijui ungesema upo kwenye Taifa la ki "circular" kama Afghanistan au Uzibekhistan.
Tunashukuru Mungu Tumemaliza salama, Sasa turudi kwenye ujenzi wa Taifa na wanaotakiwa kuwajibika wawajibike kikweli kweli Taifa lisonge mbele
Ramadhan imekwisha
Sasa turudi kwenye ujenzi wa Taifa. Kuna waliokuwa wanafanya mashindano kulisha iftar, iftar ilikuwa sio Ibada Tena bali mashindano.
Uvaaji wa Baragashia na kanzu ukawa fasheni kwa haraka haraka ungeingia tanzania kama huijui ungesema upo kwenye Taifa la ki "circular" kama Afghanistan au Uzibekhistan.
Tunashukuru Mungu Tumemaliza salama, Sasa turudi kwenye ujenzi wa Taifa na wanaotakiwa kuwajibika wawajibike kikweli kweli Taifa lisonge mbele