Kuna utamaduni unaingia kwa kasi mpaka kwenye vyombo vya serikali kufuturisha bila aibu kana kwamba nchi inaongozwa kwa misingi ya imani ya dini fulani. Huu udini ukimea mpaka ndani ya idara za serikali italeta mtafaruku kwa kuwa nchi haiongozwi kidini. Ifta za nini kwenye taasisi hizo wakati hicho chakula ni cha ibada ya dini? Ngoja wengine tukemee kwa kuwa si utamaduni wa taifa hili kuingiza imani za dini fulani kwenye vyombo vyake waziwazi au kwa namna yeyote ile. Hii sio nchi ya kidini, hizo futari ziandaliwe huko wahusika wa dini hiyo wanakokutana kumuabudu mungu wao. Haileti sura nzuri kwa taifa la kisekula kuingiza ibada za dini fulani ndani ya taasisi zake huo ni ushetani