Ramadhan kabwiri kinda kutoka Serengeti boys anayengaa Yanga sc

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
Nimefurahishwa sana na kipa kinda kutoka Serengeti boys mwenye umri wa miaka 17 kabwiri akiaminiwa na kocha Lwandamina.Amekuwa akicheza mechi za ligi kuu na hata mechi za Caf.

Wachezaji wa under 17 wale wa Serengeti walifaa kusajiliwa na timu za ligi kuu hata wawe reserves wapate uzoefu zaidi kwa manufaa ya baadae ..Yanga wamefanya vizuri kumsajili kabwiri na kumtumia


Je wachezaji wengine wa Serengeti wameishia wapi au wamerudi mtaani ?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…