Ramadhan Special Thread

7:157 - Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa.
 
Mida inakaribia , ni Sunnah kuanza kufungua kwa tende Vilevile kiafya ni nzuri sana kwa wafungaji kuanza nacho .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…