Ungana nasi upate faida mbalimbali | kitabu na suna group zetu ni: ① https://t.me/fawaidussalafiyatz ② https://t.me/Darasazandoa ③ https://t.me/upotevuwamashia
YANAYOHUSIANA NA FUNGA YA RAMADHANI (NO. 17)
حـكـم مـا يـخـرج مـن الـمعـدة إلـى الـحلـق أثنـاء الـصيـام ؟
Hukumu ya kile kinachotoka tumboni mpaka (kikafika) kooni wakati wa funga ?
قال ابن عثيميــن - رحمـہ الله -
Amesema Ibn 'Uthaimin - Allah amrahamu -
يـحـدث ڪثـيراً مـع النـاس إذا امـتلأت الـمـعـدة بـالطعـام،
Hutokea (jambo hili) kwa watu wengi pindi tumbo linapojaa chakula,
فـإن الإنسـان إذا تجشـأ،
Basi bila shaka mwanadamu (muislamu) atakapocheua (rudisha chakula),
وخـرج الهـواء مـن معدتـه،
Na kukatoka hewa kutoka tumboni kwake,
قـد يخـرج شيء مـن الطعـام،
Huenda kukatoka chochote katika chakula,
أو مـن المـاء،
Au katika maji,
فـإذا لـم يصـل إلـى الفـم،
Basi kama hakijafika kinywani,
وابتلعـه،
Na akakimeza,
فـلا شيء عليـه.
Basi hakuwajibiki lolote juu yake.
[emoji432] لـقـاء الـبـاب الـمفتـوح (20)
[ Liqaau l-baabi l-maftuuh ]
Maelezo kutoka kwa mfasiri - Allah amuhifadhi
Sheikh - Allah amrahamu - amezungumzia ikiwa hakijafika kinywani na akakimeza funga yake haiharibiki,
Ama kikifika kinywani na kisha akakimeza kwa kusudi na hali ya kuwa anakumbuka na anajua basi funga yake itakuwa imeharibika na anawajibika kuilipa siku hiyo na haruhusiwi kula bali ajizuie.
Mfasiri: Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde - Allah amuhifadhi
Dar es salaam, Tanzania
Kiunganishi:
https://t.me/fawaidussalafiyatz
Jiunge nasi upate faida mbalimbali.
| Jivunie ujira wa kusambaza faida hizi, sambaza kama ulivyopokea bila kubadilisha chochote |
Kupata faida nyingi jiunge na channel yetu ya Telegram kwa Link hii: ⇩
Ungana nasi upate faida mbalimbali | kitabu na suna group zetu ni: ① https://t.me/fawaidussalafiyatz ② https://t.me/Darasazandoa ③ https://t.me/upotevuwamashia
Pia jiunge nasi katika Instagram, Twitter, facebook na you tube:
@fawaidussalafiyatz
•┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•