bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Unashauriwa pia na kuzingatia mazingira busika mkuu lakini pia wakati utakavyokuwa ila kwa mara nyingi kwa maeneo hayo tajwa huwa jua lua linakuwa limeshazamaKwa muda huu wa futuru,, jua linakuwa limekwisha kuzama kweli???
Naona kama bado mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu natambua fika mwongozo wa kufuturu ni mawio ya jua/ jua kuzama..Unashauriwa pia na kuzingatia mazingira busika mkuu lakini pia wakati utakavyokuwa ila kwa mara nyingi kwa maeneo hayo tajwa huwa jua lua linakuwa limeshazama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu natambua fika mwongozo wa kufuturu ni mawio ya jua/ jua kuzama..
Kwa mazingira yangu jua huzama kabisa saa 12:55 jioni kama nilivyotangua kudokeza..
Kikubwa hapa niliomba shahidi mkazi wa dar atuthibitishie kuwa kwa dar au tanga ameshuhudia kwa macho yake kufikia muda huo saa 12:21 jioni jua linakuwa tayari limezama kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka mwaka jana, Ramadhan ilinikuta ndani ya Afrika ya Kusini na katika mji nilipokuwa tulikuwa tunafturu saa 11 na dakika 21 jioni....Mkuu natambua fika mwongozo wa kufuturu ni mawio ya jua/ jua kuzama..
Kwa mazingira yangu jua huzama kabisa saa 12:55 jioni kama nilivyotangua kudokeza..
Kikubwa hapa niliomba shahidi mkazi wa dar atuthibitishie kuwa kwa dar au tanga ameshuhudia kwa macho yake kufikia muda huo saa 12:21 jioni jua linakuwa tayari limezama kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu kwa mchango wakoNakumbuka mwaka jana, Ramadhan ilinikuta ndani ya Afrika ya Kusini na katika mji nilipokuwa tulikuwa tunafturu saa 11 na dakika 21 jioni....
ᴴᵃᵗᵃ ᵏⁱᵖⁱᵐᵒ ᶜʰᵃ ᵐⁱᵐᵇᵃ ᵏⁱⁿᵃʷᵉᶻᵃ ᵏᵘˢᵒᵐᵃ ᵐᵏᵒʲᵒ ʷᵃ ᵐʷᵃⁿᵃᵘᵐᵉ "ᴾᵒˢⁱᵗⁱᵛᵉ"
تقبل الله صيامنا وأعمالنا الصالحات.
"رمضان كريم وصوم مقبول"
امين يا رب العلامينآمين
تقبل الله صيامنا وأعمالنا الصالحات
وعليكم السلام ورحمة الله وبركاتـه،~ asalam aleykum ahlul muslimiina walmuslimat.
~ aljumaa mubarak...waswaum maqbool.
Ila kiukweli ugumu wa kwenye kufunga kwa pamoja tunauleta sisi wenyewe waislam, ndani yake kuna mambo ya kisiasa. Kuanzia leo nikisikia mwezi umeonekana kokote kule nafunga, hayo ndio maagizo kutoka kwenye Quran na hata hadith, waislam tunatakiwa tushikamane na wala tusifarikiane. Akiuona mwezi muislam yoyote yule duniani inatakiwa iwe ni sawa na tumeuona waislam wote.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Hakuna shaka waweza kuwa uko sawa zaidi
Ngoja waje wenye fat'waa watuelimishe hapa!!Assalaam alleykum!
Je, inaswihi kwa aliyefunga ramadhan kuchinja mnyama mchana wa Ramadhan?
Assalaam alleykum!
Je, inaswihi kwa aliyefunga ramadhan kuchinja mnyama mchana wa Ramadhan?
Assalaam alleykum!
Je, inaswihi kwa aliyefunga ramadhan kuchinja mnyama mchana wa Ramadhan?