Nasisitiza kamati ya massa sabini nambili bila kuchelewa imwazibu Chama Kwa kitendo Cha kumkanyaga Aucho bila mpira (unsports man faul) na Ili ni tukio la tatu katika Dabi anafanya Kwa maksudi na hajawahi kuchukuliwa hatua. Bodi ya Ligi kupitia kamati ya massa sabini nambili ichukue hatua haraka.