ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Muda kama huu Hayati Magufuli angeshakemea vitu kupanda bei. Leo hii mafuta ya kula lita 10 Tsh. 63, 000 huku lita 20 ikiwa ni Tsh. 117,000.
Wauza mihogo ya kukaanga biashara imewashinda sababu ya mafuta kupanda sana na sio kwamba hakuna wateja.
Tambi na ngano vimepanda bei mapema. Je, mwezi wenyewe wa Ramadhani ukianza hali itakuwaje? Kinachonishangaza hakuna chochote kinachosemwa, kuko kimya hakuna matamko ila wenzetu wa stand wenyewe mafuta yakipanda siku mbili tu nyingi washaanza kuleta migomo.
Wauza mihogo ya kukaanga biashara imewashinda sababu ya mafuta kupanda sana na sio kwamba hakuna wateja.
Tambi na ngano vimepanda bei mapema. Je, mwezi wenyewe wa Ramadhani ukianza hali itakuwaje? Kinachonishangaza hakuna chochote kinachosemwa, kuko kimya hakuna matamko ila wenzetu wa stand wenyewe mafuta yakipanda siku mbili tu nyingi washaanza kuleta migomo.