Ramani bomba ya nyumba vyumba vinne

Ramani bomba ya nyumba vyumba vinne

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
habari za Leo wakubwa,
Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au pray room.

mmexport1611612038607.png


mmexport1611612047512.png


mmexport1611612053846.png


mmexport1611612058458.png


mmexport1611612064460.png


mmexport1611612070313.png


mmexport1611612075494.png


mmexport1611612081959.png


mmexport1611612087785.png


mmexport1611612092932.png


mmexport1611612098012.png


mmexport1611612103826.png
 
Mbona sijaona ramani?
hiyo pia ni ramani ipo in three dimensions (3D).
hiyo ya 2D yenye vipimo vilivyotumika huwezi kuiweka hadharani kama hivi. Sio vizuri kuna watu wanafanya biashara hapa, wanategemea wauze hizi hizi ramani ndio maisha yaende. Kwa kufanya hivyo utakua unawakosesha mawindo yao.
 
Ngoja tumpe muda,inawezekana aliandaa kwanza picha sasa hivi ndio anachora ramani,watu wanatofautiana utaalamu...
Wanachotaka ni floor plan yenye vipimo. Hiyo haiwezi kuwekwa hadharani kama hivyo. Hata kama haijafikia viwango unavyo vihitaji floor plan yenye dimensions huwezi iweka hadharani hapa,
 
Bajeti yangu ni Tshs 50,000/= Ila nataka ramani yenye front view Kama hio Ila iwe room 3
 
habari za Leo wakubwa,
Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au pray room.

View attachment 1686499

View attachment 1686500

View attachment 1686501

View attachment 1686502

View attachment 1686503

View attachment 1686504

View attachment 1686505

View attachment 1686506

View attachment 1686507

View attachment 1686508

View attachment 1686509

View attachment 1686510
Hilo paa tuu kulifunika ni nyumba nyingine 2 kama hizo uzianzie chini hadi juu
 
Back
Top Bottom